kagwima JF-Expert Member Joined Jun 6, 2016 Posts 1,278 Reaction score 1,630 Feb 12, 2024 #121 Jaribu bidhaa za starkey hutojutia
B BabaMia JF-Expert Member Joined Jan 7, 2024 Posts 270 Reaction score 554 Oct 6, 2024 #122 Kwasasa nasikia vizuri sana. Ukutane tu na Dr. mzuri asiyekuwa na tamaa. Nina vifaa vya ku charge.
B BabaMia JF-Expert Member Joined Jan 7, 2024 Posts 270 Reaction score 554 Oct 6, 2024 #123 Vinanisaidia sana. Nilikuwa sisikii kwa Sasa nasikia. Attachments IMG_20241006_114628_610.jpg 309 KB · Views: 4
B BabaMia JF-Expert Member Joined Jan 7, 2024 Posts 270 Reaction score 554 Oct 6, 2024 #124 Inanisaidia sana Attachments IMG_20241006_114751_658.jpg 444.3 KB · Views: 4 IMG_20241006_114728_925.jpg 256.5 KB · Views: 5
Jodoki Kalimilo JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 12,559 Reaction score 11,180 Oct 6, 2024 #125 BabaDesi said: ...Yaani Hospital kubwa ya CCRBT ikashindwa tatizo lako na kukurlekeza Zahanati.ya Magomeni ??? [emoji848][emoji848] Click to expand... Pale kuna kulikuwa na specialist wa matatizo ya pia, koo na masikio....kwa sie wenye matatizo ya aina hiyo hicho kijiwe lazima ukijue....kulikuwa kuna Dr. Ole
BabaDesi said: ...Yaani Hospital kubwa ya CCRBT ikashindwa tatizo lako na kukurlekeza Zahanati.ya Magomeni ??? [emoji848][emoji848] Click to expand... Pale kuna kulikuwa na specialist wa matatizo ya pia, koo na masikio....kwa sie wenye matatizo ya aina hiyo hicho kijiwe lazima ukijue....kulikuwa kuna Dr. Ole