Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Polen sana......
mdogo wangu wa3 alipigwa sana vibao hasa vya masikioni na baba yetu mzazi akiwa [HASHTAG]#amelewa[/HASHTAG] hata [HASHTAG]#hajalewa[/HASHTAG] imempelekea kutosikia vizur hadi sana akikupa mgongo akusikii roho inaniumaga sana japo ni baba mzazi ila some times namchukia sana kwa kumfanya ivi N.B.
Alioa mwanamke mwingine (MAMA wa KAMBO) ata kama hujafanya kosa unastukia unaitwa unapigwa vibao ndio hali hii ikampelekea mdogo wangu...mzazi ni mzazi ila kwa hili............... mmmhhhh namtoleaga mbov na asinilazimishe nimsaidie nampaga makav live.
mdogo wangu wa3 alipigwa sana vibao hasa vya masikioni na baba yetu mzazi akiwa [HASHTAG]#amelewa[/HASHTAG] hata [HASHTAG]#hajalewa[/HASHTAG] imempelekea kutosikia vizur hadi sana akikupa mgongo akusikii roho inaniumaga sana japo ni baba mzazi ila some times namchukia sana kwa kumfanya ivi N.B.
Alioa mwanamke mwingine (MAMA wa KAMBO) ata kama hujafanya kosa unastukia unaitwa unapigwa vibao ndio hali hii ikampelekea mdogo wangu...mzazi ni mzazi ila kwa hili............... mmmhhhh namtoleaga mbov na asinilazimishe nimsaidie nampaga makav live.