Tatizo la kutosikia vizuri na body balance

Tatizo la kutosikia vizuri na body balance

Bora yenu Kisima na princess ariana ,..
Mimi ni masikio yote na kuongea na cm siwezi kabisa yani
Ni ngumu kuishi hivo asikwambie mtu nmexperience na naendelea kuxperience
sometimes unaweza ishi kama uko hell

unakuta mtu anaamua kukukejeli ,aweza kuita kukupima tu ukiitika anakwambia basi anacheeka... usiombe yakukute ungali bado shule ya msingi au secondary hayo manyanyapao utajuta.

kuna mtu alimkejeli dada mmoja alikua hasikii kabisa nilijiskia vbaya, Mungu ni mwema yule kaka mwaka juzi kaumwa sana dawa zinakaja ku affect masikio hasikii kabisa.

usiwacheke watu kilema, wengi wetu tumepata kutokana na dawa za hosp affect zake mfano mimi quinine...

imeniathiri mpaka leo sinaga marafiki,rafiki yangu huwaga ni simu tu.sitakagi kuwakera watu
 
Pole Sana mkuu, hata mie nina tatzo hilo la kusikia ila miaka ya nyuma nilipokuwa naenda hospital niliambiwa niwe natumia hearing device lakini niliona na mtu mwenye tatzo kama langu akanishauri nisitumie hearing device kwa maana vina madhara makubwa Sana.

Kwa mfano kama unatumia hearing device basi ili usikie unahitaji sauti kubwa Sana, kisayansi hearing device vinakusanya Sana mawimbi ya sauti then vinasukuma kuingia ndani ya ngoma ya sikio. Njoo PM ndugu nikupe ushauri na uzoefu ili utimize ndoto yako kielimu
 
in short tuko wengi, hata mimi since 2007 sikio la kulia limeziba kabisa..
haliumi nmeenda muhimbili wakanikatazaga tu nisile kisamvu na mihongo na kelele.

kwakweli nimepotia mengi sana kuhusu sikio mpaka siba hamu hapa nilipo...nmeamua kukubali hali yangu tu.
siwezagi kulala sehemu za kelele au kama tunaongea na cm uko kwenye kelele. nazisikia kelele badala ya wewe.. yani nahitaji utulivu wa akili kiasi kwamba ikitokea mikelele navurugika
Pole Sana
 
in short tuko wengi, hata mimi since 2007 sikio la kulia limeziba kabisa..
haliumi nmeenda muhimbili wakanikatazaga tu nisile kisamvu na mihongo na kelele..
kwakweli nimepotia mengi sana kuhusu sikio mpaka siba hamu hapa nilipo...nmeamua kukubali hali yangu tu.
siwezagi kulala sehemu za kelele au kama tunaongea na cm uko kwenye kelele. nazisikia kelele badala ya wewe.. yani nahitaji utulivu wa akili kiasi kwamba ikitokea mikelele navurugika
Kweli Mkuu tupo wengi, tatizo hilo nami ninalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana mkuu, hata mie nina tatzo hilo la kusikia ila miaka ya nyuma nilipokuwa naenda hospital niliambiwa niwe natumia hearing device lakini niliona na mtu mwenye tatzo kama langu akanishauri nisitumie hearing device kwa maana vina madhara makubwa Sana, kwa mfano kama unatumia hearing device basi ili usikie unahitaji sauti kubwa Sana, kisayansi hearing device vinakusanya Sana mawimbi ya sauti then vinasukuma kuingia ndani ya ngoma ya sikio. Njoo PM ndugu nikupe ushauri na uzoefu ili utimize ndoto yako kielimu
Kwa nini usimshaur hapa ili wafaidike na wengine
 
Asante sana kaka mkubwa LUCKDUBE . Ni kweli macho yameanza kuzingua siku za karibuni, nitajaribu kufata ushauri wako
MSISITIZO
Usile wala kula bidhaa za viwandani, kula mlo kamili,

Mfano kuna muda unaweza kuwa kwenye sherehe au tafrija ukapewa bia ,soda au juisi tafadhari usishawishike kuvitumia omba maji kama mbadala, mimi nna miaka kadhaa sijatumia hizo taka taka,

Kula matunda mkuu,
Usile gengeni au hotelini , pika mwenyewe

KUHUSU MASOMO
Nenda chuo bwana mdogo ukifika huko wakati unaendelea kufuata ushauri nliokuelekeza,
Toa taafifa kwa uongozi wa chuo huku ukiambatanisha nyaraka za hospitali zote ulizopitia,
Uta be regaded kama special case, utasoma na kurudi home ukiwa na degree yako safi,

MKUU UTAPONA KABISA FUATA USHAURI WANGU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MSISITIZO
Usile wala kula bidhaa za viwandani, kula mlo kamili,

Mfano kuna muda unaweza kuwa kwenye sherehe au tafrija ukapewa bia ,soda au juisi tafadhari usishawishike kuvitumia omba maji kama mbadala, mimi nna miaka kadhaa sijatumia hizo taka taka,

Kula matunda mkuu,
Usile gengeni au hotelini , pika mwenyewe

KUHUSU MASOMO
Nenda chuo bwana mdogo ukifika huko wakati unaendelea kufuata ushauri nliokuelekeza,
Toa taafifa kwa uongozi wa chuo huku ukiambatanisha nyaraka za hospitali zote ulizopitia,
Uta be regaded kama special case, utasoma na kurudi home ukiwa na degree yako safi,

MKUU UTAPONA KABISA FUATA USHAURI WANGU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika
 
The mind has a power to create and heal the diseases. If you want to heal your body then, just change your mind and thoughts. The conventional doctors wound but the mind heals.
Mkuu Justice mister,

Hii pia nayo ni muhimu mtu akaifahamu,
Nimemwambia asome biblia na motivation books pia,
Huku akiendelea na taratibu zingine nilizo mweleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ngumu kuishi hivo asikwambie mtu nmexperience na naendelea kuxperience
sometimes unaweza ishi kama uko hell

unakuta mtu anaamua kukukejeli ,aweza kuita kukupima tu ukiitika anakwambia basi anacheeka... usiombe yakukute ungali bado shule ya msingi au secondary hayo manyanyapao utajuta.....
kuna mtu alimkejeli dada mmoja alikua hasikii kabisa nilijiskia vbaya, Mungu ni mwema yule kaka mwaka juzi kaumwa sana dawa zinakaja ku affect masikio hasikii kabisaaaaa.
usiwacheke watu kilema, wengi wetu tumepata kutokana na dawa za hosp affect zake mfano mimi quinine...

imeniathiri mpaka leo sinaga marafiki,rafiki yangu huwaga ni simu tu.sitakagi kuwakera watu
Mimi nilikuja kugundua chanzo cha vijana wengi kutokusikia ni matokeo ya kuchomwa sindano za quinine pindi wauguapo malaria,

Hili ni jambo muhimu nilitaka kulisahau,
Nisaidie kumtag mtoa thread,
Asiwe anakubali kuchomwa sindano au drip za quinine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu mi nakusihi uende chuoni tu, hamna. Mimi nimehitimu shahada ya ualimu japo masikio yangu hayasikii vyema hasa nashindwa kabisa kuelewana na mtu nitumiapo simu au niwe sehemu tulivu kisha sauti ya simu isiwe ya kukoroma au iliyoambatana na kelele. Pamoja na changamoto hizo sijawahi kata tamaa na mara zote siwaangalii wanaonisema kwa kutosikia vizuri japo huwa wanakera sana. Endelea kufikiri vitu chanya achana na mawazo hasi kwasababu ya kutokusikia vizuri.
 
Ni ngumu kuishi hivo asikwambie mtu nmexperience na naendelea kuxperience
sometimes unaweza ishi kama uko hell

unakuta mtu anaamua kukukejeli ,aweza kuita kukupima tu ukiitika anakwambia basi anacheeka... usiombe yakukute ungali bado shule ya msingi au secondary hayo manyanyapao utajuta.....
kuna mtu alimkejeli dada mmoja alikua hasikii kabisa nilijiskia vbaya, Mungu ni mwema yule kaka mwaka juzi kaumwa sana dawa zinakaja ku affect masikio hasikii kabisaaaaa.
usiwacheke watu kilema, wengi wetu tumepata kutokana na dawa za hosp affect zake mfano mimi quinine...

imeniathiri mpaka leo sinaga marafiki,rafiki yangu huwaga ni simu tu.sitakagi kuwakera watu
facing the same problem.quinine imeniharibia mengi maishani.
japo sikia moja ndo zito but nashindwa kuelewa speech..
nimelipata nkiwa primary taratibu linakuwa worse..
momenta zote nlizopitia.dharau..
my phone is my only friend
nimemeza hayo madawa ya neurotone miezi mitatu kila siku.nkarudi khuzema akaniambia niendelee na doz tena miez mitatu.
now nimeishia kwa muhindi na haering aid..atleast sio kama zile za mchina..hazinipiaumivu hizi.na sauti yake ni clear...tatizo kuongea na simu.

lakini tangu nichomwe hiyo quinine mwaka 2005 mpaka sasa miaka 12 sijaumwa malaria tena.ilhali n nna watu nmaoishi nao wanaumwaga.?? kwanini
 
Mimi nilikuja kugundua chanzo cha vijana wengi kutokusikia ni matokeo ya kuchomwa sindano za quinine pindi wauguapo malaria,

Hili ni jambo muhimu nilitaka kulisahau,
Nisaidie kumtag mtoa thread,
Asiwe anakubali kuchomwa sindano au drip za quinine.

Sent using Jamii Forums mobile app
wengi wetu hatujazaliwa hivi, haya matatizo ni hizo quinine
 
facing the same problem.quinine imeniharibia mengi maishani.
japo sikia moja ndo zito but nashindwa kuelewa speech..
nimelipata nkiwa primary taratibu linakuwa worse..
momenta zote nlizopitia.dharau..
my phone is my only friend
nimemeza hayo madawa ya neurotone miezi mitatu kila siku.nkarudi khuzema akaniambia niendelee na doz tena miez mitatu.
now nimeishia kwa muhindi na haering aid..atleast sio kama zile za mchina..hazinipiaumivu hizi.na sauti yake ni clear...tatizo kuongea na simu.

lakini tangu nichomwe hiyo quinine mwaka 2005 mpaka sasa miaka 12 sijaumwa malaria tena.ilhali n nna watu nmaoishi nao wanaumwaga.?? kwanini
yani miaka ya quinine imetuathiri wengi sana..
mimi rafiki yangu simu sitakagi kuwakera watu walkojaliwa masikio yao mazuri

mambo ya kukaa unatetwa hapo hapo siwezi, halafu wao wanaonaga kama ni furaha vile
 
Jamani poleni sana ndg zangu...!
Nimesoma mjadala wote, kiukweli nimesononeka sana!

Bado siamini kama kweli tatizo hili halina suluhisho!
Mmenifanya nilichukulie seriously kutafuta na kupata ufumbuzi.
Kuanzia kesho naanza upya kujitibu kwa njia nijuazo mwenyewe.
Kwakuwa wengi wenu mmenena bayana ya kwamba mmefuatilia tiba za hospitali na bado haikusaidia, sasa nimekata shauri sitaenda tena hospitali kwajili ya hili.
Ntafuata ushauri wa mkuu @LUCKYDUBE japo ni mgumu kwelikweli!

Na nitarudi kwenye tiba ya asili kabisa ambayo awali niliifatilia baadae nikakengeuka na kuegemea hospitali.

Kuna hii moja nawapa pengine inaweza kuwa ya msaada mkubwa kwetu; tengeneza mixture ifuatayo;
1)Chukua majani mabichi ya Bangi
2)uwe na mafuta ya kuku anayetaga lau ml10
3)uwe na mafuta ya habbat sauda lau ml10
4)uwe na majani matatu ya mimea fulani jamii ya katani ambayo huota juu ya mti.
5) Uwe na jumba tupu la kono wakubwa. Chukua ambalo utakuta limekaa mdomo umeangalia kwa juu. Usiokote lililo jifunika mdomo ardhini.
 
Back
Top Bottom