Tatizo la kutosikia vizuri na body balance

Tatizo la kutosikia vizuri na body balance

Nimesoma ushauri wenu nyote, asanteni kwa mda nitaifanyia kazi... Kwenda chuo nako mtihani sababu maisha secondary yalikuwa na changamoto zake pia, imagine unaenda kukutana na watu kama huyu kakangu Jordi Pola , inaumiza kwakweli
 
Dah! Mkuu asikwambie mtu hili tatizo mimi pia lilinipata tangu 2012 mpaka leo naskiaga makelele mengi sana lakini nilijitahid mpaka nimemaliza masomo yangu chuo kilimo mpaka leo tatizo ninalo nimeenda kote sijui muhimbili na pengine pengi mpaka hawa wa tiba mbadala lakini wapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi Sana, najisikia kuwa na furaha Sana kuwafahamu wenye tatzo kama langu, tuonane hapa 0655788932 Whatsapp au normal sms
 
yaani..ni vile unakuta unamuongelesha lakini kwa bahati mbaya jibu lake hukuliskia vizuri..unakuta anarudia kwa kufoka hadi unajuuta..

na pale mtu anapoambiwa huyu hasikii vizuri doh..unashangaa kila mtu anakuangalia wee.mpaka unajiuliza kuna nini?
but usikate tamaa
Mungu ana sababu zake.
Mimi ndio hayo siyatakagi kabisa
rafiki yangu simu ,internet nk
waja siwawezi wananinyima amani sometimes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani wenye tatzo na masikio karibuni tufahamiane mie nione hapa 0655788932
 
mimi sikio la kushoto alisikii kabisa.maaada ndg zangu
 
kama ni quinine bora uhangaike sasa..kwani kadri mda utavyoenda na tatizo litazidi..
Ngoja nihangaike nalo naamini nitapona tu kwa neema za Mungu!

Madaktari na wanasheria tunahitaji michango yao katika hili.
Ikithibitika kwamba quinine ndiyo chanzo cha haya maradhi, ipo haja ya kuwashitaki kwakweli.
Inakuwaje mamlaka husika waruhusu matumizi ya dawa hizi pasipo kujiridhisha kama zinaleta madhara kwa watumiaji huko mbeleni?
Tunawaomba maafisa wa TFDA and other international accredited regulatory authorities watoe ufafanuzi dhidi ya madhara ya hizi dawa na kwanini hadi leo bado zinaendelea kutumika?!
 
madaktari njooni mtusaidie, tukiwa jkt nilimuuliza mwenzangu mmoja wa pcb kwanini mimi sina balance au nna tatizo la sikio akacheka sana akasema ni vitu havina uhusiano, we mwarabu kuja huku usikie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu Kwa nyakati izo unazopitia, here are the remedies ambazo waweza fanya ukiwa unasubiria surgery mkuu .

1) -vitunguu swaumu vitatu
- mafuta ya olive ( famasi
- nunua dropper ( famasi zipo).
- pamba ( famas.

Menya ivo vitunguu ,,ponda ponda ,,kamua upate juise yake ,,changanya na mafuta ya olive ,, weka kwenye dropper yako , asubuhi na jion matone manne manne.

AU

2,,Kitunguu cha kawaida .
Menya ,, kiponde pponde ,,upate juisi yake ,,tumia dropper weka matone mawili mawili asubuh na jioni !!.

hii itaweza saidia kurekebisha tatizo LA kutosikia vizur hence balance ya mwili pia ...

BTW , Kuandika Nachoka,, So km hutojal ,Ni PM .tuone namna nawweza kukushauri mambo mengi ambayo unaweza kuyafanya na yakabadilisha maisha ya tabu unayopitia.

Njoo PM mkuu ,, we sio wakwanza kuumwa ,,njoo nikuambie mambo yamsingi yakufanya.

Wakuu mimi ni kijana(19 years now) nina tatizo la kutosikia vizuri na body balance(nimesoma science kidogo naelewa masikio ndio yanayo control body balance) hili tatizo limenianza mda sana tangu nipo mdogo wa miaka kama 9 hivi sasa limekuwa kubwa kiasi kwamba nahitaji attention kubwa sana kuongea na mtu na mara nyingi nikitembea huwa siendi sawa(napepesuka mda mwingine hadi kudondoka)... Hospital nimeenda mara y kwanza muhimbili mwaka 2009 na mama nilichunguzwa nikaambiwa nahitaji hearing device na kwa kuwa gharama ilikuwa kubwa bi mkubwa alishindwa kumudu, by 2012 baba akafanikiwa kuipata hiyo hearing device ambapo niliitumia ila ikawa nikivaa sana masikio yanazidi kuuma, hii ilipelekea kwenda tena Hospital mara hii ikiwa ni CCBRT hapo tukaambiwa twende ekenwa(Hospital flani hivi ipo magomeni) tulivyofika pale na kupimwa solution ilikuwa kutumia kwanza dawa flani hivi zinaitwa neorouns(kama sijakosea) kwa miezi mitatu mfululizo then nikimaliza niendelee kutumia hearing device. Hii haikuniletea nafuu yoyote mpaka namaliza form four na kwenda likizo ifakara kwa babu, nikiwa huko baada ya miezi kadhaa masikio yakawa ya nauma sana, nikapelekwa Hospital na babu (st Francis Hospital ifakara) baada ya kunichunguza wakaniandikia barua ya rufaa kwenda muhimbili surgery department.. Baada ya Kurudi dar na kwenda muhimbili mzee akanambia gharama ni kubwa sana kwa sasa na yeye hana pesa...
Natumai kuna madaktari humu mnipe japo ushauri wa nini cha kufanya maana nimeshindwa kwenda chuo sababu ya masikio na naona kadri siku zinavyokwenda ndivyo yanavyozidi kupoteza uwezo wake..
Natumai mtanisaidia kwa hili Doctors
[/QUOTE]
 
Nimesoma ushauri wenu nyote, asanteni kwa mda nitaifanyia kazi... Kwenda chuo nako mtihani sababu maisha secondary yalikuwa na changamoto zake pia, imagine unaenda kukutana na watu kama huyu kakangu Jordi Pola , inaumiza kwakweli
mimi secondary nimepitia changamoto zilizonipelekea kufail shule mpaka leo sijaendelea popote...
nmepitia mengi sana mpaka kujikubali ,imenigarimu miaka japo changamoto bado zipo nyingi sana tu za maisha..
ila secondary nmepitia mengi mabaya sana sitakagi hata kuyakumbuka.

juzi kati hapa kuna mlemavu alijiua ,hiyo mada ilikuwepo humu Jf, alijiua kwasababu alichoka kejeli za wanachuo wenzie...
nilijisikia vibaya ila nikakumbuka challenge nilizopata na nnazopata sometimes unafikia huko
 
mimi secondary nimepitia changamoto zilizonipelekea kufail shule mpaka leo sijaendelea popote...
nmepitia mengi sana mpaka kujikubali ,imenigarimu miaka japo changamoto bado zipo nyingi sana tu za maisha..
ila secondary nmepitia mengi mabaya sana sitakagi hata kuyakumbuka.

juzi kati hapa kuna mlemavu alijiua ,hiyo mada ilikuwepo humu Jf, alijiua kwasababu alichoka kejeli za wanachuo wenzie...
nilijisikia vibaya ila nikakumbuka challenge nilizopata na nnazopata sometimes unafikia huko



kwakweli inaumiza mno mno! usikate tamaa princess ariana na huenda wewe shida yako ikawa ndigo kuliko ya mwingne!usifikie huko kbs!endelea kufurahia maisha!sipend kbs mie mtu kumcheka mwenye tatzo lolote! mie mwenyewe nna pumu nikianzaga kukohoa basi kila mtu anakushangaa! mxiew! hujafa ....
 
kwakweli inaumiza mno mno! usikate tamaa princess ariana na huenda wewe shida yako ikawa ndigo kuliko ya mwingne!usifikie huko kbs!endelea kufurahia maisha!sipend kbs mie mtu kumcheka mwenye tatzo lolote! mie mwenyewe nna pumu nikianzaga kukohoa basi kila mtu anakushangaa! mxiew! hujafa ....
halafu hao wanichekao hawajui mbeleni kitawapata nini.

moja kati ya walionicheka mwaka juzi alipata ukichaaa akapelekwa muhimbili akakaa miezi mi3 anatumia dawa za kutuliza akili kila siku dawa 8 akiacha kichaa kinarudi.

hizo dawa atatumia maisha ni mwake mote kama Arvs zinamnenepesha amekua jitu fulani hivi. wanasemaga hujafa hujaumbika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
halafu hao wanichekao hawajui mbeleni kitawapata nini.

moja kati ya walionicheka mwaka juzi alipata ukichaaa akapelekwa muhimbili akakaa miezi mi3 anatumia dawa za kutuliza akili kila siku dawa 8 akiacha kichaa kinarudi.

hizo dawa atatumia maisha ni mwake mote kama Arvs zinamnenepesha amekua jitu fulani hivi...
wanasemaga hujafa hujaumbika

Sent using Jamii Forums mobile app


kwelli kbs !malipo hapa hapa!lakini naomba nijue radio,tv unasikia vzr au inakufanya usikie kelele!
 
kwelli kbs !malipo hapa hapa!lakini naomba nijue radio,tv unasikia vzr au inakufanya usikie kelele!
nasikia kila kitu ila kuna baadhi ya vitu sometimes waweza usisikie hasa sehemu ikishakua na muingiliano wa kelele
au naweza sikia lakini nisielewe, naweza sikia kitu ila nisielewe.

naongea na simu nasikiliza miziki yani everything
 
Nimesoma ushauri wenu nyote, asanteni kwa mda nitaifanyia kazi... Kwenda chuo nako mtihani sababu maisha secondary yalikuwa na changamoto zake pia, imagine unaenda kukutana na watu kama huyu kakangu Jordi Pola , inaumiza kwakweli
wewe wapuuze..ni wangapi na uzima wao na wanasikia sawasawa na leo hawapo wamekuacha wewe duniani?

ni wangapi pamoja na ukamilifu wao wapo hospital sasa hivi hawawez hata kunyanyuka?

huwezi kupata vyote..mungu alichokujaalia sema asante halafu mwanaume kaza moyo utafika..miaka mitatu chuo sio mbali.utashangaa mwenyewe unagraduate.

hivi hujiulizi mbona na hilo tatizo lako umefaulu wazima wamefeli? kama mzazi wako anao uwezo soma..the world is battlefield not playground..
 
Back
Top Bottom