Tatizo la kutosikia vizuri na body balance

Tatizo la kutosikia vizuri na body balance

Jamani poleni sana ndg zangu...!
Nimesoma mjadala wote, kiukweli nimesononeka sana!

Bado siamini kama kweli tatizo hili halina suluhisho!
Mmenifanya nilichukulie seriously kutafuta na kupata ufumbuzi.
Kuanzia kesho naanza upya kujitibu kwa njia nijuazo mwenyewe.
Kwakuwa wengi wenu mmenena bayana ya kwamba mmefuatilia tiba za hospitali na bado haikusaidia, sasa nimekata shauri sitaenda tena hospitali kwajili ya hili.
Ntafuata ushauri wa mkuu @LUCKYDUBE japo ni mgumu kwelikweli!

Na nitarudi kwenye tiba ya asili kabisa ambayo awali niliifatilia baadae nikakengeuka na kuegemea hospitali.

Kuna hii moja nawapa pengine inaweza kuwa ya msaada mkubwa kwetu; tengeneza mixture ifuatayo;
1)Chukua majani mabichi ya Bangi
2)uwe na mafuta ya kuku anayetaga lau ml10
3)uwe na mafuta ya habbat sauda lau ml10
4)uwe na majani matatu ya mimea fulani jamii ya katani ambayo huota juu ya mti.
5) Uwe na jumba tupu la kono wakubwa. Chukua ambalo utakuta limekaa mdomo umeangalia kwa juu. Usiokote lililo jifunika mdomo ardhini.
Baada ya kutengeneza hiyo mixture unaitumiaje sasa? Unakunywa au unadondoshea kwenye masikio?

senty from my Iphone 7 using jamii forum app
 
Ukiwa tayari na hizo items, chukukua majani ya bangi na ile mimea jamii ya katani grind them together mpaka viwe rojo kisha changanya na yale mafuta yetu ya habbat sauda na kuku kwa muda wa masaa matatu kisha squeeze them perfectly kwenye chombo kisafi na hakikisha hakuna sold particles wala suspension yeyote iliyobaki kwenye hicho kimiminika.

Baada ya hapo utapata miscible solution ambayo ndiyo itakuwa required kwajili ya matibabu ya ugonjwa wetu.

Namna ya ku apply dawa;
Utamimina portion ndogo ya dawa yetu kwenye lile jumba la konokono kisha unamimina kwenye masikio yote mawili.
Anza kumimina dawa kwenye sikio lisiloumwa egesha kwa juu sikio husika ili dawa iingie ndani kabisa.
Kaa hivyohivyo dakika15 kisha weka tena dawa kwenye sikio linaloumwa na ukae tena dk15 ndipo uruhusu kichwa kukaa katika hali ya msawazo wa kawaida.

Dawa hii itasaidia sana watu wengi.

Hakikisha unawekwa dawa na mkono wa mtu yuleyule daily.

Asanteni sana wakuu na hakikisheni mnafanyia kazi ushauri wangu na wadau wengine!
 
yani miaka ya quinine imetuathiri wengi sana..
mimi rafiki yangu simu sitakagi kuwakera watu walkojaliwa masikio yao mazuri

mambo ya kukaa unatetwa hapo hapo siwezi, halafu wao wanaonaga kama ni furaha vile
Nakumbuka nilishawahi kutumia quinine mara mbili tu katika maisha yangu.
Tena nilimeza tembe zile nyeupe awamu ya kwanza na baadae niliumwa tena nikameza zile za pale pinc. Siwezi kuwa realistic kwamba ndizo zimeniletea madhara haya!? nilitumia quinine mara ya mwisho mwaka 2013/2014 sielewi kivipi madhara niyapate mwaka huu?!!
Ipo haja ya kufanya utafiti juu ya hili ili ikibainika tuwashitaki watengenezaji wa hii dawa.
 
Baada ya kutengeneza hiyo mixture unaitumiaje sasa? Unakunywa au unadondoshea kwenye masikio?

senty from my Iphone 7 using jamii forum app
Tambaa na thread mkuu nimeweka muendelezo wa maelezo mpaka mwisho.
Soma na fanyia kazi pengine ikawa ya msaada kwako.
 
Poleni wote.Inaonekana kuna tatizo upande wa utaalamu kwa madaktari wrtu kwani wote mnaonekana kutokupata nafuu hata baada ya kuhudhuria hospitali.

Km mtumishi wa umma , omba rufaa Muhimbili u.ende kwa Wahindi huko Pollo, utarekebishwa vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani miaka ya quinine imetuathiri wengi sana..
mimi rafiki yangu simu sitakagi kuwakera watu walkojaliwa masikio yao mazuri

mambo ya kukaa unatetwa hapo hapo siwezi, halafu wao wanaonaga kama ni furaha vile
yaani..ni vile unakuta unamuongelesha lakini kwa bahati mbaya jibu lake hukuliskia vizuri..unakuta anarudia kwa kufoka hadi unajuuta..

na pale mtu anapoambiwa huyu hasikii vizuri doh..unashangaa kila mtu anakuangalia wee.mpaka unajiuliza kuna nini?
but usikate tamaa
Mungu ana sababu zake.
 
yani miaka ya quinine imetuathiri wengi sana..
mimi rafiki yangu simu sitakagi kuwakera watu walkojaliwa masikio yao mazuri

mambo ya kukaa unatetwa hapo hapo siwezi, halafu wao wanaonaga kama ni furaha vile


aic pole sna my dear!ebu uwe positive tu kwa maisha yako!polen wote leo ndo naona shida hzi aic humu!polen tena!
 
in short tuko wengi, hata mimi since 2007 sikio la kulia limeziba kabisa..
haliumi nmeenda muhimbili wakanikatazaga tu nisile kisamvu na mihongo na kelele..
kwakweli nimepotia mengi sana kuhusu sikio mpaka siba hamu hapa nilipo...nmeamua kukubali hali yangu tu.
siwezagi kulala sehemu za kelele au kama tunaongea na cm uko kwenye kelele. nazisikia kelele badala ya wewe.. yani nahitaji utulivu wa akili kiasi kwamba ikitokea mikelele navurugika
We mtu unamatatizo mengi sana ,,,
 
Nakumbuka nilishawahi kutumia quinine mara mbili tu katika maisha yangu.
Tena nilimeza tembe zile nyeupe awamu ya kwanza na baadae niliumwa tena nikameza zile za pale pinc. Siwezi kuwa realistic kwamba ndizo zimeniletea madhara haya!? nilitumia quinine mara ya mwisho mwaka 2013/2014 sielewi kivipi madhara niyapate mwaka huu?!!
Ipo haja ya kufanya utafiti juu ya hili ili ikibainika tuwashitaki watengenezaji wa hii dawa.
kama ni quinine bora uhangaike sasa..kwani kadri mda utavyoenda na tatizo litazidi..
 
Pole Sana mkuu, hata mie nina tatzo hilo la kusikia ila miaka ya nyuma nilipokuwa naenda hospital niliambiwa niwe natumia hearing device lakini niliona na mtu mwenye tatzo kama langu akanishauri nisitumie hearing device kwa maana vina madhara makubwa Sana, kwa mfano kama unatumia hearing device basi ili usikie unahitaji sauti kubwa Sana, kisayansi hearing device vinakusanya Sana mawimbi ya sauti then vinasukuma kuingia ndani ya ngoma ya sikio. Njoo PM ndugu nikupe ushauri na uzoefu ili utimize ndoto yako kielimu
Dah! Mkuu asikwambie mtu hili tatizo mimi pia lilinipata tangu 2012 mpaka leo naskiaga makelele mengi sana lakini nilijitahid mpaka nimemaliza masomo yangu chuo kilimo mpaka leo tatizo ninalo nimeenda kote sijui muhimbili na pengine pengi mpaka hawa wa tiba mbadala lakini wapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom