jomon na msiew io umeeka tu buda au ulisikia kwa mtu mmoja au watatu uka conclude maana hio maneno ya jomon na msiew akisema hata mbele ya wanaume wa chuga lazima wa wamshangae au laabda ulifananisha jomon na lomoniHabari za kuelekea sikukuu ya chirstmas wapendwa!.
Leo nipo hapa kuongelea suala la ushamba wa matumizi ya maneno kwa wavulana wa Arusha maana nikisema wanume nitakuwa nmewakosea heshima. hao wavulana wana matumizi mabaya mabaya ya maneno kama wanavyotumia wasichana wa hapa mkoani kwa RC MAKONDA
Nalo ni tatizo la kutumia maneno yasiyo na maana mfano wa hayo maneno yanayotumiwa na watu hao ni Jomoni, Yente, haikatos, Msiew,
hayo ni baadhi ya maneno wanayotumia hao watu na kujiona ni wajanja sana kumbe ni wapuuzi wa kupuuzwa.
toa mchango wako kuhusiana na hao watu hapo juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
yente haina tofauti na hayojomon na msiew io umeeka tu buda au ulisikia kwa mtu mmoja au watatu uka conclude maana hio maneno ya jomon na msiew akisema hata mbele ya wanaume wa chuga lazima wa wamshangae au laabda ulifananisha jomon na lomoni
Sent using Jamii Forums mobile app
yente kwa arusha n neno la kigumu ko apo inategemea na tabia za lugha siunajua kuna misimu na rejesta ko huwezi kujudge kuhusu lugha haraka maana yente hata uku mbeya wahuni wanalitumia so sioni tatizo boss
Hakuna ugumu wowote ni ushoga mamboleo tu.yente kwa arusha n neno la kigumu ko apo inategemea na tabia za lugha siunajua kuna misimu na rejesta ko huwezi kujudge kuhusu lugha haraka maana yente hata uku mbeya wahuni wanalitumia so sioni tatizo boss
Sent using Jamii Forums mobile app
kwangu mimi kijana akiongea ivyo namuona kama binti mdangajiNeno yente haliboi
Labda hiyo jomoni na msiew
Hilo neno "ko" halina neno mbadala? Yaani palipo na neno "ko" uandike lingine lilete maana sawa? Sijui kwanini hilo neno silipendi!!yente kwa arusha n neno la kigumu ko apo inategemea na tabia za lugha siunajua kuna misimu na rejesta ko huwezi kujudge kuhusu lugha haraka maana yente hata uku mbeya wahuni wanalitumia so sioni tatizo boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Heee!
Yente na msiew zina maana ipi Jo?Neno yente haliboi
Labda hiyo jomoni na msiew
ndiyo wale wale tu uyo.Hilo neno "ko" halina neno mbadala? Yaani palipo na neno "ko" uandike lingine lilete maana sawa? Sijui kwanini hilo neno silipendi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hazina maana kisarufi na hazieleweki kabisa ni kitu ganiYente na msiew zina maana ipi Jo?