wapendwa wanajukwaa mi nina tatizo ambalo nina imani wengi wetu pia linawasumbua na kuwakera. Tatizo lenyewe ni tumbo kutoa sauti inayokera . Wengi husema ni kwa sababu ya njaa lakini mimi hunitokea hata kama nimeshiba. Siumii ila inanikera kwani inanipunguzia kujiamini .naomba kujua inasababishwa na nini ?na njia za kutibu?