Tatizo la kuvimba uso wakati wa asubuhi

Tatizo la kuvimba uso wakati wa asubuhi

SHIGOTTO

Senior Member
Joined
Sep 4, 2018
Posts
156
Reaction score
282
Wandugu habari!

Mzee wangu ameanza tatizo la kuvimba usoni kila asubuhi kwa wiki tatu sasa na baada ya muda mfano saa nne asubh kuendelea anakuwa powa!

Tafadhali naomba kujuzwa kama kuna mtu anafahamu hii hali, kwa sasa Mzee yuko kijijini nategemea kumfuata weekend hii ili tuwaone watu wa hospital.

Natanguliza shukrani zangu!
 
Akapate vipimo vya afya yake hospitali,kwani alikuwa anakunywa pombe..?
 
Figo, sukari na moyo huwa na dalili hizo. Mpeleke hospital upate ushauri wa kitabibu.
 
Atakuwa na matatizo ya figo, acute glomerulonephritis... Acheki na vipimo vya moyo na ini.
 
Back
Top Bottom