Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waungwana msaada demu kachomoa nisimkisi Kisa nanukia pombe nimekula bia kadhaa tumeingia gheto kakataa anakwepesha mdomo nimepiga mswaki bado harufu aiishi nifanyeje?kama kua Dawa ya kutafuna kupuliza nk nk msaada
Waungwana msaada demu kachomoa nisimkisi Kisa nanukia pombe nimekula bia kadhaa tumeingia gheto kakataa anakwepesha mdomo nimepiga mswaki bado harufu aiishi nifanyeje?kama kua Dawa ya kutafuna kupuliza nk nk msaada
Aina gani ya pombe unatumia?Mi hata nikilaga ndizi mbivu harufu huwa inabakia..yani! ni janga la kitaifa!
kwa ushauri huu na mwingine unaozidi kumiminika kama tatizo litaendelea utakuwa mkono wa mtu!!
Aina gani ya pombe unatumia?
Mghosi
Kula ndizi mbivu kama tano hivi.
Mkuu, ulifanikiwa kumpata huyo mtaalam wa Mansoor Daya?!Ee bana asante sana, sana tu.
Nmekupata vilivyo.
Dah mkuu hii thread niya siku nyingi sana tena sana like 6 years agoMkuu, ulifanikiwa kumpata huyo mtaalam wa Mansoor Daya?!
What was the cost, if you can remember! Samahani kwa usumbufu lakini.Dah mkuu hii thread niya siku nyingi sana tena sana like 6 years ago
Any ways kujibu swali lako, nilienda kwa huyu mtaalam enzi hizoila nilitoka nduki coz dawa nakumbuka zilikua very expensive yaani ghali sana. So sijamchukulia huyo mdogo wangu hiyo dawa
Dawa ipi hiyo unayoongelea!By then it was 13,000 now it's 15500 tshs
I cant seem to rmber well lkn ilikua in the region of laki tatu nne then nikitu cha maisha utakua unanunua na kutumiaWhat was the cost, if you can remember! Samahani kwa usumbufu lakini.
naomba kujua kuhusu dawa nzur ya kutumia kwa mdomo kutoa harufu maana nasumbuliwa na tatzo hilo