Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

hili tatizo lipo jinsia zote mbili,huwa napata shida sana nikikutana na watu wenye hili tatizo.hii mbaya sana usiombe kunuka mdomo aisee,me huwa napiga mswaki mara 2 kwa siku na huwa napiga kila kona ya kinywa hadi kwenye ulimi napitisha mswaki ila nakuwa mwangalifu nisijichubue(nikila chakula kinachobakiza harufu mdomoni lazma nipige mswaki japo harakaharaka),natumia almost dkk 10-15 kupiga mswaki na mara nyingi huwa napenda kukagua harufu ya kinywa kwa kuweka kiganja mbele ya mdomo na pua kisha natoa hewa kwa nguvu kupitia mdomoni.tujali afya ya kinywa jamani kunuka mdomo aibu..kuna mtu me huwa namkwepa kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka kinywani mwake.kama nikipata manzi ananuka mdomo asee haraka sana nitatafuta njia nzuri mpaka nimwambie akamwone daktari akimaindi basi😀 la sivyo napiga chini.

Toa ushauri wa tiba siyo kelele hizi.
 
Kuna watu wananuka midomo jamani, nilikua nimekaa siti moja na mkaka hivi yaani mdomo wake unatoa hewa kama chemba za vyoo, kidogo nimuulize oyaa hupigagi mswaki.

Yaani alikua akipumua mpaka nageuza kichwa upande mwingine, nashukuru nimefika nakokwenda maana hali ilikua mbaya aisee.

Jamani tupigwe mswaki na kama una tatizo kamuone daktari wa meno uchunguze meno.
Hahah......nimecheka sana
 
Nishawahi Kuwa Na Manzi Wa Hivi, Yaani Kila Nikitaka Kupiga Nae Story Nanunua PK Mbili Najifanya Na Share Nae Kwa Upendo Kumbe Naepuka Harufu, Mdomo Kama Kafa Paka, Halafu Yeye Hajijui Kama Yaani
 
Na wale wengine wanaotema mvua huku wanaongea full mate + kunuka mdomo yani utadhani kuna ka toilet pembenii
 
Mtu ambaye hapati haja kubwa kama inavyotakiwa kitaalamu mara nyingi huwa na hili tatizo, akihema utafkiri panya kafia mdomoni hata apige mswaki mara mia kwa siku bado hali itakuwa hiyo hiyo.

Usiombe sasa ukutane na dada mwenye hilo tatizo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wee jamaa balaaaaa kwelikweli
 
Kuna watu wananuka midomo jamani, nilikua nimekaa siti moja na mkaka hivi yaani mdomo wake unatoa hewa kama chemba za vyoo, kidogo nimuulize oyaa hupigagi mswaki.

Yaani alikua akipumua mpaka nageuza kichwa upande mwingine, nashukuru nimefika nakokwenda maana hali ilikua mbaya aisee.

Jamani tupigwe mswaki na kama una tatizo kamuone daktari wa meno uchunguze meno.
atakua anapiga komoni[emoji12] matejoo
 
Nishawahi Kuwa Na Manzi Wa Hivi, Yaani Kila Nikitaka Kupiga Nae Story Nanunua PK Mbili Najifanya Na Share Nae Kwa Upendo Kumbe Naepuka Harufu, Mdomo Kama Kafa Paka, Alafu Yeye Hajijui Kama Yaani
Msaidie ajue kwamba ananuka mdomo ili atafute dawa.
 
Watanzania wengi tuna tatizo la kutofahamu umuhimu wa kunywa maji,binafsi naamini % kubwa ya hilo tatizo la hewa chafu kinywani linasababishwa na mfumo wa ndani ya matumbo kama mhanga anaswaki vizuri daily, tujenge utamaduni wa kunywa maji salama.
 
...Ni vema kumwona Dr wa kinywa na meno kabla ya hatua hizi... kufanya flossing,kusafisha meno usiku kabla ya kulala na asubuhi pia kutumia mouth wash yenye flouride....anyway hizo ni tips sio prescription
 
Hivi ni vyema kupiga mswaki mara 2 kwa siku,nauliza wakati au muda gani zaid ndo unafaa kwa wakati wa jion ni kabla ya kula chakula cha jion au muda wa kulala? Majibu tafadhali ili watu,tutunze vinywa vyetu vema.
 
Pia huambukiza maana hewa ile inabadilisha hata ladha mate.Kila mtu hunuka mdomo!
 
Back
Top Bottom