Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

Ili tatizo lipo jinsia zote mbili,huwa napata shida sana nikikutana na watu wenye hili tatizo. Hii mbaya sana usiombe kunuka mdomo aisee,me huwa napiga mswaki mara 2 kwa siku na huwa napiga kila kona ya kinywa hadi kwenye ulimi napitisha mswaki ila nakuwa mwangalifu nisijichubue (nikila chakula kinachobakiza harufu mdomoni lazma nipige mswaki japo harakaharaka)

Natumia almost dkk 10-15 kupiga mswaki na mara nyingi huwa napenda kukagua harufu ya kinywa kwa kuweka kiganja mbele ya mdomo na pua kisha natoa hewa kwa nguvu kupitia mdomoni.

Ijali afya ya kinywa jamani kunuka mdomo aibu..kuna mtu me huwa namkwepa kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka kinywani mwake.kama nikipata manzi ananuka mdomo asee haraka sana nitatafuta njia nzuri mpaka nimwambie akamwone daktari akimaindi basi😀 la sivyo napiga chini.
 
Kwanini hukuhama siti? Mimi kinachonikera ni wanawake ambao hawasafishi nyeti zao, halafu na mdomo nao unatoa harufu. Demu anapendeza ukimtazama kwa macho, lakini ukizama ukitoa harufu inayotoka hapo ni balaa!
 
Mmmhh inapendeza sana kila baada ya kipindi flani mtu ukachekiwe afya ya kinywa na meno......
Kuna baadhi midomo inanuka kwa ugonjwa lkn wengine ni uchafu.......
Mmhh kama unajijua unatatizo hili ni bora utafune hata bubblish zenye mint ili kupunguza harufu
Nishasikia kuhusu hili
 
Kwanini hukuhama siti? Mimi kinachonikera ni wanawake ambao hawasafishi nyeti zao, halafu na mdomo nao unatoa harufu. Demu anapendeza ukimtazama kwa macho, lkn ukizama ukitoa harufu inayotoka hapo ni balaa!!
Siti zilikua zimejaa sikuwa na namna
 
Ungemshauri kiaina amwone Dr wa kinywa na meno...sasa umetuletea shida sie wasafiri wa kesho
 
Ila pia unaweza toa harufu hiyo bila wewe kujua. So yaweza kuwa hata wew pia unatoa ila wenzako wanakuchukulia tu.
 
Hukuwa na PK unajifanya umegeuka msamaria mwema ku-share naye tembe moja moja ya PK...Kumbe wewe unatafuta unafuu wa kufika safari..
Alinichanganya akili mpaka nikasahau kumpa
 
Mtu ambaye hapati haja kubwa kama inavyotakiwa kitaalamu mara nyingi huwa na hili tatizo, akihema utafkiri panya kafia mdomoni hata apige mswaki mara mia kwa siku bado hali itakuwa hiyo hiyo.

Usiombe sasa ukutane na dada mwenye hilo tatizo.
Na wanavyopumuapumua hovyo hovyo kukuibia ukiwa juu kifo cha mende lazima ugeuzie pua pembeni
 
Back
Top Bottom