safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Tatizo lako ni dogo tu kijana.
Jitahidi unapopiga mswaki uwe unasugua ulimi kwa sababu chakula huwa kinaangukia na kuburuzwa hapo wakati wote wa kula,unaposahau kuukosha ulimi na ikawa ni suala la muda mrefu basi mabaki ya chakula yanagandana baadae hutoa harufu.
Sugua ulimi wako kwa mswaki usiokuwa mgumu sana kuepusha michubuko na vidonda ulimini.
Jambo lingine jitahidi kupiga mswaki kila baada ya kula chakula na usiweke kipaumbele sana kupiga mswaki wakati wa kuamka na kulala,bali kipaumbele iwe kila unapokula chakula cha ratiba yako upige mswaki na iwe ndio tabia yako hiyo.
Tatu tafuta dawa inaitwa sensodyne bei ni kuanzia 12000 hii dawa nzuri sana kwa mambo ya kinywani uwe unatumia hiyo kama dawa yako ya maisha japo bei kubwa,kama huwezi tafuta dawa zingine za meno nzuri.
Pia unapopiga mswaki piga juu chini juu chini,na sio ile kushoto kulia kushoto kulia.
Piga katika kila engo.
Vuta picha unapopiga mswaki basi mswaki wako uwe unaishia katika nafasi baina ya jino na jino(hapa ngumu kuelewa,ni kama ile juu chini)
Jitahidi unapopiga mswaki uwe unasugua ulimi kwa sababu chakula huwa kinaangukia na kuburuzwa hapo wakati wote wa kula,unaposahau kuukosha ulimi na ikawa ni suala la muda mrefu basi mabaki ya chakula yanagandana baadae hutoa harufu.
Sugua ulimi wako kwa mswaki usiokuwa mgumu sana kuepusha michubuko na vidonda ulimini.
Jambo lingine jitahidi kupiga mswaki kila baada ya kula chakula na usiweke kipaumbele sana kupiga mswaki wakati wa kuamka na kulala,bali kipaumbele iwe kila unapokula chakula cha ratiba yako upige mswaki na iwe ndio tabia yako hiyo.
Tatu tafuta dawa inaitwa sensodyne bei ni kuanzia 12000 hii dawa nzuri sana kwa mambo ya kinywani uwe unatumia hiyo kama dawa yako ya maisha japo bei kubwa,kama huwezi tafuta dawa zingine za meno nzuri.
Pia unapopiga mswaki piga juu chini juu chini,na sio ile kushoto kulia kushoto kulia.
Piga katika kila engo.
Vuta picha unapopiga mswaki basi mswaki wako uwe unaishia katika nafasi baina ya jino na jino(hapa ngumu kuelewa,ni kama ile juu chini)