Habari zenu wakuu, natumai uko poa sana popote pale ulipo. Leo nina hamu na natumai kuzungumzia tatizo linalo sababisha kutoweka kwa furaha kunako wanaume wengi. Kukujoa mapema kabla ya kumridhisha mwenza ni tatizo linalowakumba vijana wengi na watu wazima pia, kitu ambacho kinapelekea ndoa nyingi kusambaratika. Leo nataka tuangalie ni zipi haswa sababu zinazopelekea habari hii. Tatizo la kukojoa mapema muda mwengine inakuwa sio tatizo kwasababu mara nyingi habari hii hutokana na akili.
1. HIGH SENSATION
Unajua, kuna watu wana sense kali sana katika mfumo wao wa hisia. Yaani unaweza kumkuta mtu hata hujamkaribia tayari ameshasanukia uwepo wako. Hali hii inaonesha uwezo mkubwa wa utendaji kazi wa akili yako na sio tatizo la kimwili wala katika akili. Hivyo unapokuwa na high sense pana uwezekano wa kumaliza tendo la ndoa kwa haraka zaidi kwasababu kila sexual sensation inapokuwa kubwa ndio kadri unapokuwa karibu na kukojoa. Hivyo, wenye hisia kali, wanahitajia mazoezi ya kudhibiti hisia zao. Mmi leo nitakupa zoezi moja ukalifanye halafu matokeo rudisha kwenye uzi huu. Unapotaka kufanya mapenzi safisha akili yako, ondoa kila kitu mpaka ujihisi mtupu, halafu wakati upomuingilia mwenza, fumba macho yako halafu fikiria jambo ambalo ni tofauti na sex, kama vile kazi, michezo, kumbukumbu za utotoni n.k, halafu anza kufanya kidogo then wakati unavyofanya chunguza hisia zako taratibu. Njia hii itakupa mazoezi ya kukontrol hisia zako. Ili njia iwe effective rudia kwa mara 21 katika siku tofauti. Mabadiliko ya kiakili hayatokei kwa siku moja yanahitaji muda sana.
2. HIGH EXPECTATION
Sababu ya pili ni kuwa na hamu ama matarajio makubwa ya kitendo hiko cha sex. Kwa mfano unaweza sema leo nikifanya nataka nimuoneshe game isiyo ya kitoto, au unapojiambia nitafanya mikao hii na style hile. Unajua unapofikiria hivyo unakuwa unahisi raha lkn bila ya kufahamu unatengeneza tatizo jengine ijpya. Kwasababu unapoanza kufikiria kabla ya kufanya unaifanya akili yako ithubutu kuamini kwamba upo katika tendo husika. Hivyo unavyoingia katika tendo la ndoa unajikuta ni dakika moja kama sio nusu sekunde umeshapiga bao. Kwani mchakato huo ulianza kabla katika mfumo wa akili, na akili ndio inayo control kukojoa ama kutokojoa yaani ejaculation. Hivyo ukienda chumbani ondoa kabisa mawazo ya sex, jiamini halafu ingia kwenye mziki.
3. PUU NYETO (MASTERBATION)
Huu mchezo unafanywa na vijana wengi sana pasi na kufahamu athari zake, Mchezo hu mara nyingi mtu huwa anafanya katika hali ya siri na kwa haraka tena huku akimfikiria mtu fulani na hivyo humpatia sense kwa muhusika kama anafanya kweli kitendo chenyewe. Athari ya kwanza unaiprogramu akili kuwa na mawazo ya sexual kupita kawaida, mtu anaefanya sana mchezo huu, sio ajabu akiona ziwa tu limetuna dakika hiyo hiyo ameshapiga bao. Kwasababu akili inarudi kule kule kwenye kuwaza, maana akili ishazoea kuachia mkojo wakati wa kufikiri kulikoni kutenda, Hivyo puu nyeto inamfanya muhusika siku anayomuingilia mwanamke kukojoa kabla hata ya kumgusa mwanamke au pengine sekunde 20 za kazi huwa tayari kesha kojoa, hii pu nyeto inakuwa ishajenga tabia ya kuachia mkojo kwa haraka na pia imeshajenga tabia ya imagination kuliko in reality. Hivyo solution ni kuacha michezo hii amabyo inapelekea sexual addiction.
4. KUKAA MUDA MREFU BILA YA KUFANYA MAPENZI
Unapokaa siku nyingi bila ya kufanya mapenzi ni lazima kutochukuwa muda mrefu kwenye kitendo husika, yaani utamaliza haraka na hii hutokana na mkusanyiko wa hisia nyingi ambazo hupelekea high sensation kwa hiyo kama ukiwa una muda mrefu haujafanya mapenzi, jaribu kufanya angalau mara 3 kwa week unaweza ukarudi katika hali yako ya kawaida.
5. MIKANGANYIKO YA MAWAZO AMA STRESS
Na hii ni sababu nyegine inayosababisha kukojoa kwa haraka, kwasababu unapokuwa na stress akili inakuwa haipo sawa, unafanya mambo kwa kurupuka na kwa haraka, hivyo sio ajabu kujikuta unawahi kumaliza papper test mapema.
6. MACHOFU
Machofu pia ni sababu ya tatizo hili kwasababu mwili na akili vinakuwa havifanyi kazi inavyotakiwa hivyo ni bora kupumzika kwanza halafu ndio uanze shughuli ukiwa umejipanga vya kutosha.
7. MAUMIVU YA MGONGO NA NYONGA
Kama unasumbuliwa na mgongo au nyonga basi kumaliza haraka kwenye mapenzi kusikushangaze, Kwasababu mgongo unapelekea uchovu na ndiko huo mkojo unakotokea, hivyo kukiwa huko hakuko sawa basi tatizo linaweza kuwepo, Unajua kiungo cha mwanadamu kikichoka na ukilazimisha kifanye kazi basi kitafanya kazi lkn akili italazimisha utendaji wake ufanyike kwa haraka ili kiungo hiko kipate mapunziko. Hivyo jaribu sana kulala chali kwa masaa kadhaa kabla hujafanya mambo yetu.
MATIBABU
Kama inakuchukua dakika moja mpaka kukojoa basi unatakiwa kutumia dawa zinazopungua hisia za mgusano ili kukufanya udumu kwa mda mrefu katika kitendo husika, Usitumie dawa mara zote. Siku nyengine fanya bila ya dawa uone kama kutakuwa na improvement. Jaribu kufanya meditation kila asubuhi ili kuondoa stress au mikanyiko sugu ya mawazo.
Pia unaweza kutumia condom kwasababu inapunguza hisia za mgusano.
Kama inakuchukua zaidi ya dakika moja mpaka kukojoa basi fanya sana mazoezi ili kuondosha stress na pia pendelea kufanya kegel exercise. Pia unatakiwa kufanya mazeoezi ya akili kama vile meditation. Lkn pia jaribu kujifunza kuzuia kukojoa kwenye kitendo husika. Kwa mfano unapohisi unataka kukojoa jaribu kusimama kwa sekunde chache au kubadilisha mikao mara kwa mara. Na pia ondoa fikra za sex wakati wa tendo husika, maana kuna watu wengine wakati wapo juu ya kifua cha mtu fulani wanamfikiria mtu mwengine hapo hapo. Usikate tamaa, kumbuka ulikuwa hata kuendesha baiskel haujui lkn kwa mafunzo taratibu ukajikuta unaelewa, hivyo najua itakuwa ngumu kuzi control hisia zako kwa siku za mwanzo lkn kadri unavyoendelea uatona matokeo mazuri