Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Habarini ndugu zangu , Kuna siku niliomba ushauri kuhusu kuwaswa seheme za korodani na Kuna vinyama vilikuwa vinaota , Asanten kwa ushauri na nilpo enda kwa Daktari nilipewa hizo dawa mbili za kupaka ambapo ELYVATE unapaka asubuhi na jioni seheme zenye kuwasha , na hiyo SEABOMA lotion unapaka usiku tu mwili mzima kasoro usoni ndani ya siku tatu tu na tatizo linakuwa limeondoka , na vile vinyama vinakauka so MTU mwenye changamoto Kama yangu Basi ataweza kuzitafuta na zitamzaidia
 
HABARI, samahani ndugu zangu nina shida ta kuwa na mba sugu kwenye ngozi yangu maeneo ya mikono na mabegani na mgongo huwa zinakuja na baadae kupotea then kurudi tena naombeni msaada wenu nifanyeje ili kuweza kuzitibu kabisa niwe na mimi na babysoft skin.
nimewahi kutumia itraconazole capsules, pamoja na tube nyingi sana za kupaka. sasa natafuta dawa ya mbadala na hizo, nisaidieni nateseka ni hii kitu,
 
Muone dermatologist atakusaidia.
 
Dr. Kizumango mtabibu wa asilia wa njia mbadala wa magonjwa sugu ya binadamu. Napatikana Action herbs clinic iliyoko manzese mkunguni. Dar
Naweza kukusaidia nina product inaitwa AZIRUM SYRUP
ni dawa mchanganyiko unaofanya maajabu makubwa na haraka kwa maradhi sugu ya fangasi aina zote, chunusi, upele, mba, mapunye, U.T.I, na allergic reaction kwani dawa hiii hutibu ndani (damu) na chanzo cha tatizo na huboresha mfumo wa tissues ba cell .

NDANI YA WIKI @3 HUMALIZA TATIZO NA KUTOJIRUDIA RUDIA TENA.

USHARI: kunywa maji mengi atlist 3litre per day

Tuwasiliane +255684765575
 
Dr. Kizumango mtabibu wa asilia wa njia mbadala wa magonjwa sugu ya binadamu. Napatikana Action herbs clinic iliyoko manzese mkunguni. Dar
Naweza kukusaidia nina product inaitwa AZIRUM SYRUP
ni dawa mchanganyiko unaofanya maajabu makubwa na haraka kwa maradhi sugu ya fangasi aina zote, chunusi, upele, mba, mapunye, U.T.I, na allergic reaction kwani dawa hiii hutibu ndani (damu) na chanzo cha tatizo na huboresha mfumo wa tissues ba cell .

NDANI YA WIKI @3 HUMALIZA TATIZO NA KUTOJIRUDIA RUDIA TENA.

USHARI: kunywa maji mengi atlist 3litre per day

Tuwasiliane +255684765575
 
Dr. Kizumango mtabibu wa asilia wa njia mbadala wa magonjwa sugu ya binadamu. Napatikana Action herbs clinic iliyoko manzese mkunguni. Dar
Naweza kukusaidia nina product inaitwa AZIRUM SYRUP
ni dawa mchanganyiko unaofanya maajabu makubwa na haraka kwa maradhi sugu ya fangasi aina zote, chunusi, upele, mba, mapunye, U.T.I, na allergic reaction kwani dawa hiii hutibu ndani (damu) na chanzo cha tatizo na huboresha mfumo wa tissues ba cell .

NDANI YA WIKI @3 HUMALIZA TATIZO NA KUTOJIRUDIA RUDIA TENA.

USHARI: kunywa maji mengi atlist 3litre per day

Tuwasiliane +255684765575
 
Inaweza kutibu warts?

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Wakuuu habari zenu baada ta salamu, nije kwenye mada nasumbulia na genitals warts naomba msaada Nitumie dawa gani?? Naomba kuwasilisha wakuu

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Wakuuu habari zenu baada ta salamu, nije kwenye mada nasumbulia na genitals warts naomba msaada Nitumie dawa gani?? Naomba kuwasilisha wakuu

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Dr. Kizumango mtabibu wa asilia wa njia mbadala wa magonjwa sugu ya binadamu. Napatikana Action herbs clinic iliyoko manzese mkunguni. Dar
Naweza kukusaidia nina product inaitwa HVP SYRUPS
ni dawa mchanganyiko unaofanya maajabu makubwa na haraka kwa maradhi sugu GENITALS WARTS aina zote.
Kivimbe kidogo kwenye sehemu za siri kinachosababishwa na maambukizi ya kawaida ya zinaa.
Vidonda vya sehemu za siri ni maambukizi ya kawaida ya zinaa yanayosababishwa na virusi vya human papilloma (HPV).
Huenea kwa mawasiliano ya ngono
Watu wanaweza kupata uzoefu:
Dalili za kawaida: warts na verrucas, kuwasha, kuwasha uke, mkundu kuwasha, au ngozi kuwaka hisia.

NDANI YA WIKI @3 HUMALIZA TATIZO NA KUTOJIRUDIA RUDIA TENA.

USHARI: kunywa maji mengi atlist 3litre per day

Tuwasiliane +255684765575
 
Nina shida ya vipele vikavu vinawasha matakoni, mapajani na kwenye korodani. Naombeni msaada please. Sahv nikama wiki
 
Nina shida ya vipele vikavu vinawasha matakoni, mapajani na kwenye korodani. Naombeni msaada please. Sahv nikama wiki
Dr. Kizumango mtabibu wa asilia wa njia mbadala wa magonjwa sugu ya binadamu. Napatikana Action herbs clinic iliyoko manzese mkunguni. Dar
Naweza kukusaidia nina product inaitwa HVP SYRUPS
ni dawa mchanganyiko unaofanya maajabu makubwa na haraka kwa maradhi sugu GENITALS WARTS aina zote.
Kivimbe kidogo kwenye sehemu za siri kinachosababishwa na maambukizi ya kawaida ya zinaa.
Vidonda vya sehemu za siri ni maambukizi ya kawaida ya zinaa yanayosababishwa na virusi vya human papilloma (HPV).
Huenea kwa mawasiliano ya ngono
Watu wanaweza kupata uzoefu:
Dalili za kawaida: warts na verrucas, kuwasha, kuwasha uke, mkundu kuwasha, au ngozi kuwaka hisia.

NDANI YA WIKI @3 HUMALIZA TATIZO NA KUTOJIRUDIA RUDIA TENA.

USHARI: kunywa maji mengi atlist 3litre per day

Tuwasiliane +255684765575
 
Nisaidieni Madaktari wabobezi wa humu JF
Ni muda gani huchukua tangu muathirika wa HIV alipoathirika na kuambukiza wengine(endapo atajamiiana na mtu asiye muathirika)
 
Za miguuni?
Za ngozini?
Za kwenye sehemu za siri?
Za kichwani?
Za mdomoni?

Jr[emoji769]
Kuna jamaa yangu ana fungus sugu za miguuni, unaelewa dawa ya kumaliza tatizo lake?

Iwe ya kienyeji au ya pharmacy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…