Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Halafu inaweza ikawa ni yeast na si fangasi.so yakupasa uitumie sana google .itakusaidia.
 
Paka mchuz wa limao Kila siku ukianza kulala na kuamka baada ya kuoga
siku ya 3 utaanza kupata nafuu
Mimi nilipata fangas tangu kpind nipo shule kwenye hizo pupu zikawa znachubuka nikapona kwa $ku 2 tu

note kuwa hakuna mdudu anayeweza kuishi ktk limao
 
gody asante sana ila uyo wa kutmbea bila kuful hy0 nomaaaaaaaaa
 
Mh yaani hili tatizo ni kubwa yaani kumekuwa kweusi pembezoni mwa pu...u.
 
Pole sana, humu utapata ushauri na tatizo lako litakwisha.
 
....kogea dettol, jipanguse vizuri kisha weka poda, ukiwa hme vaa loose attire i.e msuli, bukta au boxers.

Hakikisha unavaa chupi safi au boxer safi kila siku...utaona mabadiliko.
 
Nami nina tatizo kama hilo bila shaka hapa nitapata dawa. Yaani WALLAH hii sired siiachii mpaka mwisho wa michango yooote.
 
msaada ni mwaka wa pili huu
nmejarbu daw mbalimbli ila imeshindkana yani adi ngozi imebadlika
rangi

Tumia Nivea lotion for men tu,paka kama unavyopaka mafuta sehemu zilizoathirika,baada ya muda c mrefu utakuwa umepona,mm mwenyewe nilikuwa hvyo ila baada ya kuanza kuitumia tena bila ya kujua kama ni dawa nikashangaa fangasi zote kushney tena kabla hata lotion yenyewe haijaisha,hadi leo hazijarudi,jaribu mkuu yaweza kukusaidia,pole sana
 
Pole sana hayo Mapu.... tuaita Korodani, paka mafuta ya mzaituni (olive oil) inasaidia sana, pia hakikisha kabla kuvaa chupi unakausha vizuri maeneo hayo, pia zingatia usafi wa taulo, na utafute chupi za cotton sio zilizoandikwa Arsenal zile za mpira zinaleta joto sana
 
nakshaur uanze kampen ya usaf wa mwl kwa sabuni zenye dawa huku ukibadlsha 'kufuli' kama wadada ... yaani asubuh na jioni mwsho ukpata nafas jipe hewa kwa kupiga 'freestyle' yaan usivae chup ..
Mkuu umemaliza tiba. Aachane na madawa ya kunywa/kupaka badala yake aelekeze juhudi kwenye usafi. Taulo lifuliwe kila siku na likauke vizuri na ikiwezekana lipigwe pasi . nguo za ndani kv kufuli na kaptula zifuliwe daily na kubadilishwa esp chupi na kupigwa basi. kama mazingira yanaruhusu usivae kufuli siku chache chache. wiki itakuwa historia
 
Fungus ya kuwasha sehemu za siri ndio inayojulikana sana hasa kwa vijana wa kati ya miaka 15 hadi 35.


TIBA NA USHAURI:
Kwanza,Hakikisha sehemu husika inakuwa kavu masaa 24.

pili pakaa poda yoyote ya kutibu fangasi asubuhi na usiku kwa wiki 4 mfululizo.

tatu,tafuta na meza antibiotic eg cloxacillin 250mg(2 x 3 siku 5) kama sehemu yenyewe imekwa kama kidonda ili uweze kukausha haraka.


Nne usivae boxer/chupi bali vaa bukta yenye kuruhusu hewa kupita na jikaushe vizuri baada ya kuoga(ni vizuri kusubiri ukauke kabla ya kuvaa nguo).


Usitumie sabuni zenye dawa kwani zitakusaidia kwa muda lakini zitafanya ngozi kupoteza uwezo wake wa asili wa kujilinda dhidi ya vijidudu(ngozi ina uwezo wa kujilinda kiasili,haiitaji msaada, na uwezo wake unaongezeka kadiri inavyoshambuliwa na vijidudu-)

Tano hakikisha unabadili nguo ya ndani kila siku na unavaa nguo safi na ikibidi uipige pasi kila siku.


Sita,tumia cream inayoitwa QUADRIDERM X 2 KWA SIKU 14 lakini ipake sehemu ikiwa kavu na kaa dk 15-30 kabla ya kuvaa nguo



Saba
[h=2]Dawa kiboko ya minyoo na fungus sugu (home made)!![/h]
Habari zenu wadau.Nimeona nitoe elimu hii hapa kwa sababu ni watu wengi sana wanaosumbuliwa na minyoo na fungus sugu kila maeneo kuanzia miguuni mpaka sehemu nyeti!Hii imekuwa kero sana.Haijalishi umezunguka hospitali ngapi bila kupata nafuu.Cha kufanya ni:-

Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.
Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)

Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!

Msisite kuja kutoa ushuhuda wenu hapa wakuu.Ni hayo tu. chanzo. https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/346213-dawa-kiboko-ya-minyoo-na-fungus-sugu-home-made.html



Mwisho,Muone daktari kwa ushauri na tiba zaidi.
 
gody asante sana ila uyo wa kutmbea bila kuful hy0 nomaaaaaaaaa
Hahahahh. Si ndio tiba hiyo? By the way, umeshawahi kutumua gel (dawa ya kupaka) inayoitwa "DIPROSALIC" Ointment? Inapatikana maduka karibia yote makubwa ya dawa. Hii na yenyewe inasaidia. Ipo kubwa na ndogo. Ndogo no kati ya shilingi 8000/9000 na kubwa ni 14,000. Inasaidia sana pia kupamnaba na waddu hao! Kila la kheri
 
Nenda hospitali ukacheki ujue ni aina gani ya fangas ili wajue wakupe dawa gani may be fangas imeingia hadi kwenye damu, kwani ikiingia kwenye damu ni vigumu kupona kwa dawa za kupaka na kumeza tu huwa wanajaribu na dawa za sindano. Pole sana sijui mpenzi wako mnaingia chumvini kweli kwa hali hiyo!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kwani huyo mgonjwa akienda kwa daktari hatomuonyesha hiyo sehemu iliyo athirika na huo ugonjwa???
Pengine inaweza ikawa si fangus ila ni ugonjwa mwingine.
Mkuu kwa daktari kende lazima uzichanue...sasa hapa jamvini wote si madaktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…