Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

BTW kama ni mdada sipati picha. Pole sana na zingatia ushauri huo hapo juu
 
msaada dem wangu anafangasi sana anawashwa na kujikuna mpaka anatoa uchafu wa njano kiasi kwamba tukitumia kinga wakati sex uchafu wote mweupe unaomtoka unapandaa juu ya ndom msaaada atumie dawa gani kwa hosp kaenda kapewa dox kamaliza doz hiyo hali imerudi tena
Kwanza abadilishe pH conditions ya eneo hilo. Kwanza apime pH ya mkojo , kama ni acidic atumie dawa kuibadilisha ili iwe alkaline. Asipofanya hivyo, hawazi kupona kwa dawa za kawaida. Ukipata majibu ya pH ya mkojo,Dawa ninazo.
 
zipo kwa wingi supermarket zinatibu fungus wa mvunguni na wa kwapa au kikwapa na kufanya ngozi ilokuwa nyeusi kutokana na hao microbes kurudia rangi yake . Bei ni tshs 200-2500 kwa apple cider vinegar (acv) na tshs 100-1500 kwa white vinegar. Mbali na kupaka unaweza kunywa kijiko kimoja cha acv au wv na kuchanganya na maji (baridi au vuguvugu) glass moja kukuepusha na maumivu ya mwili na viungo. Tumia pia kwa kusukutua kuondoa harufu mbaya ya kinywa




nashukuru sana mkuu nitajaribu kwenda kuzitafuta nikizipata na majibu mazuri nitayaleta hapa kwa msaada wa wengine pia. Ubarikiwe sana mkuu
 
interesting thread... mimi nimwoga sana. But nitajaribu kutumia kwa ajili ya minyoo..
Shukrani kwa BAOSITA na kwa wote walioleta majibu coz yametutia moyo wengine.
 
Last edited by a moderator:
thats is not fungus au candida. Hiyo ni chlamydia infection ndo zinatoa ute wa njano unaonuka. Fungus huwa zinatoa ute mweupe na hauna harufu. Ukipata ujumbe niPM nikuandikie dawa
 
nenda katafute vidonge vya kuingiza ukeni (clotrimazole pessaries). atumie na msifanye ngono wakati anatumia pia angalia na wewe kama upo fresh.
 
thats is not fungus au candida. Hiyo ni chlamydia infection ndo zinatoa ute wa njano unaonuka. Fungus huwa zinatoa ute mweupe na hauna harufu. Ukipata ujumbe niPM nikuandikie dawa

na inakuaje mtu unakua unaskia kama maumvu yan kama mkojo unakuuma uma vle..alaf unatoka ute mzto mweupe lakn cyo mwng?
 
thats is not fungus au candida. Hiyo ni chlamydia infection ndo zinatoa ute wa njano unaonuka. Fungus huwa zinatoa ute mweupe na hauna harufu. Ukipata ujumbe niPM nikuandikie dawa
mkuu dox ndo huwa inatibu chlamydia kama hajapona basi itakuwa fangasi, pia kasema ute mweupe huwa unapanda kwenye kondom.
 
Audhurie maabara kwanza.
mlete kwangu nichukue HVS for diagnosis
 
Do, mpe bibie pole. Mkishafuata ushauri mzuri ulitolewa na unaoendelea kutolewa naomba bibie ajaribu kunywa cranberry juice kama inapatikana hapo mlipo.
 
Gynozol vaginal cream itamsaidia,anaingiza ndani ya uke na kupaka sehemu ya mashavu na pembeni chupi inapopita pande zote mbili (yaani kwa ndan) kwa siku saba. Usiku tu wakati amekoga na iwe ni muda wa kulala ili dawa ifanye kazi vizuri. Pia anywe maji kwa wingi na ahakikishe toilet ni pasafi kabla hajachutama. Vilevile asafishe uke kwa maji mengi na safi bila kutumia sabuni yoyote..ni muhimu kuvaa chupi kavu tena ikibidi iwe imekauka kwa joto la jua au anyooshe kwa pas na ahakikishe sehemu zake hzo amezikausha vizur wakat wa kuvaa kyupi.
Alipopewa dawa hospital (dox) ilitakiwa na wewe upewe ili mtibu tatizo kwa pamoja..i think it will help.
NYONGEZA,wakati akiwa kwenye hii dozi na wewe uwe mstahimilivu bana,maana ukianza kumuangalia wakati anaweka hizo dawa kwenye maeneo yake lazima utashikwa na kiu ya ku-do matokeo yake anachelewa kupona au haponi kabisa,umenielewa?:nimekataa
 
Mmh! Vitunguu saumu,dox,gynozol mwisho wa siku tunapata pilau majibu yalivo mengi!
 
Je mtu akitapika hiyo dawa atalazimika kunywa tena ama itaponya hivyohivyo bila kurudia? Na je kama ukinywa kwa maji mengi kama alivyofanya ndugu hapo juu haitaathiri utendaji kazi?
 
Back
Top Bottom