tumia kwa muda mrefu pia kaulize vidonge vya vitungu swaumu unapaka na kunywa,fanya hivo kama miezi 3 hiviNliwahi kutumia hii dawa, kwa takribani mwezi mmoja lakini badae tatizo lilirudi tu baada ya kuacha,.
Labda ntajaribu tena maana mateso nnayoyapata mpaka najuta kuzaliwa
Ninajitahidi sana kuoga mara kwa mara, kufua nguo za ndani kwa maji ya moto, kuanika nguo juani na kutumia medicated soap bila mafanikioPia zitahidi kuoga walau Mara tatu kwa siku, kama unaweza au Mara mbili na epuka kuvaa chupi.vaa bukta na hakikisha haurudii Mara mbili Kwa siku.hichi ndio chanzo cha fangasi kurudirudi kama ufanyi iv
Shukrani sana mkuu, ntafany hivotumia kwa muda mrefu pia kaulize vidonge vya vitungu swaumu unapaka na kunywa,fanya hivo kama miezi 3 hivi
TUMIA CREAM KAMA SONADERM KISHA ZIKIPOTEA MEZA VIDONGE(kaombe prescription kwa daktari) kisha Fanya usafi kuanzia paint ya nyumbani kwako na nguo ulizokuwa ukizitumia wakati unaumwa fangas, zichome zote nunua nguo mpya Kabisa(hakikisha unachoma zote isibaki hata leso) ....Ninajitahidi sana kuoga mara kwa mara, kufua nguo za ndani kwa maji ya moto, kuanika nguo juani na kutumia medicated soap bila mafanikio
Mkuu Dawa karibu zote zinatibu magojwa ya ngozi zinafaa ila watu wengi hawajui masharti yake hata Mahospitalini madaktari wengi ni pumba tu... hawajui kitu..Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, mimi ni wmanaume miaka 25, nilianza kushambuliwa na fangasi nikiwa form two 2007, mpaka naandika huu uzi nimehangaika zaidi ya miaka kumi bila kupata mafanikio, nimezunguka hospitali kubwa na ndogo natumia dawa bila mafanikio, nimetumia dawa nyingi za kienyeji bila mafanikio. Fangasi wa kwenye (tests) ngozi ya pumb sehemu ya pembeni.
Naomba masaada wa dawa ambayo itanisaidia kupona kabisa maana nakosa furaha ya kuishi.
Nb: nimefanya vipimo vyote vya magonjwa ya ngozi vinaonsha ni fangasi.
Sana, mpaka kuna vitu vingine nashindwa kufanya kwasababu ya muwashoPole sana fangasi huwa zinawasha mno.
Hasante sana, ntazidi kufata ushauri wako.Usivae nguo zinazobana kama boxa achana nazo kabisa vaa bukta tepe inayokuacha upigwe na upepo muda wote,hakikisha unakuwa msafi mwili mzima muda wote na pia usitumie sabuni zenye kemikali Kali sana kama tetsmosol,dettol nk(sababu hapa ni kwamba mwilini kuna bacteria wazuri ambao huhitajika muda wote sasa unapo tumia sabuni zenye kemikali zenye nguvu sana kama nilizozitaja hapo juu unaua bacteria wazuri na wabaya pia sasa ukishaua Bacteria wazuri mwili unabaki bila kinga na hapo ndipo fangasi wanapopata nafasi ya kukushambulia(pendekezo langu tumia sabuni za jamaa zile za kufulia nyeupe kabisa zile zitakusaidia)) lakini pia hakikisha unakuwa mkavu muda wote sehemu hizo unyevuunyevu unachochea sana uwepo wa fangasi hasa seheme za mwili zenye mikunjo kama huko ulikokutaja.cha muhimu sana ni kuhakikisha unakuwa mkavu muda wote usivae nguo Mara mbili bila kuifua na pia usivae nguo isiyo yako au kuazimisha nguo zako hata kama utazifua tena utakaporudishiwa hakikisha nguo zako ulizozifua unazianika kwenye jua Kali la mchana zikauke kabisa.usivae nguo ambazo hazijakauka vizuri hii ni kuzuia unyevu,fua nguo zako kwa sabuni ya unga safi.usipende kuvaa nguo za mtumbani.
USHAURI HUU NI KUTOKA KWANGU NILIYEPATA TATIZO KAMA HILO NA SASA NIPO HURU.
muhimu sana kuwa mkavu sehemu za siri muda wote Fanya kila uwezalo kubaki mkavu na msafi.lala sehemu safi pia.jitahidi sana kuwa mbali na uchafu wa aina yeyete ule mwilini.
Nimeacha zamani sana hiyo tabia, kabla hata sijapata hili tatizoAcha punyeto....
Vidonge gani hivyo mkuuKuna vidoge vya kumeza,
Nakutafuta whatsapFungus hiyo ilitesa wengi sana, ninayo dawa, ni ya kimarekani utapona kuanzia wiki moja..... Kwa maelezo na utaratibu nipigie 0762208190 AU whatsup