Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nshawai kweda hosp napewa tubes na vidonge bado moto nI ule ule mkuuUlishawahi kwenda hospitali kuonana na matabibu??
Walikushauri nini??
Kama bado hujaenda, kwanini??
Inauma hatari, unatia dawa mpaka unatafuta panga Boi ipo wapi kupulizia ila ni nzuri nilitumia wakati Nina fungus za mguu vidoleniMaduka ya dawa zipo katika vichupa dawa ina rangi ya kijani inauzwa 2000 hiyo kiboko, ni ya kupaka uliza dawa ya mba
asante mkuu maana ni noma hku nashindwa muda mwingine kutenbeaMaduka ya dawa zipo katika vichupa dawa ina rangi ya kijani inauzwa 2000 hiyo kiboko, ni ya kupaka uliza dawa ya mba
Umepima HIV mkuuMsaada kwa yule anayejua dawa au tiba jamani,niko DAR ES SALAM huwa nikija dar huku ugonjwa huwa naupata abao na dalili zake .........
(1)muwasho
(2)maumivu
(3)kutoka kwa mabaka meusi kama unba sehemu za korodani
We jamaa angalia utamharibu huyu mgonjwa...Maduka ya dawa zipo katika vichupa dawa ina rangi ya kijani inauzwa 2000 hiyo kiboko, ni ya kupaka uliza dawa ya mba
V money anakorodani[emoji23] [emoji23]Msaada kwa yule anayejua dawa au tiba jamani,niko DAR ES SALAM huwa nikija dar huku ugonjwa huwa naupata abao na dalili zake .........
(1)muwasho
(2)maumivu
(3)kutoka kwa mabaka meusi kama unba sehemu za korodani
dume mkuuWw ke au me? tuanzie hapo kwanza
Ile komesha shuleni tuliitumia sanaInauma hatari, unatia dawa mpaka unatafuta panga Boi ipo wapi kupulizia ila ni nzuri nilitumia wakati Nina fungus za mguu vidoleni
Sasa kwann unajiita Vmoney?...... Dunia hii jamani!!!!!......Kwanza lete pic tuone hizo fungus.m
dume mkuu
Jamani msaidieni huyu dada amekuwa na Vaginal discharge kwa muda mrefu karibia mwaka sasa, vipimo vinaonyesha ni candidiasis. Ametumia dawa nyingi lakini tatizo linajirudia.