Wakuu habari zenu..
Bwana leo kiukweli nimechefuka kabisa na hizi tabia za dada zetu kiukweli, jamani wanawake ni wazuri nje ila ndani ni wachafu wachafu wachafu (sio wote).
Hivi wewe dada yangu ujihurumi mwenyewe na huyo unayemvalia chupi na tait muda wote?
Hivi tabia za kuanika chupi zenu na taiti bafuni nan kawafundisha? Unaisi bafuni ni salama kuanika nguo za mwili?? Kama ndiyo kwa nini nguo zingine tunaanika juani?? Kwa hiyo wale ni wajinga ety.?
Wakuu nimeingia bafu mmoja kwa nyumba flan hivi aisee bafu sio bafu ni store za nguo za ndani.. yaan nimekuta chupi kama zote na taiti zimeanikwa hapo, afu sio kama kuna space from moja to nyingine hapana zimegandana ( kwa haraka haraka zile chupi ni za watu kama wa 5 hv maana kuna Kubwa na kuna ndogo)
Sasa najiuliza hiv wadada wa ile nyumba ni salama kweli huko kwenye k** zao maana nachojua mm.. ukianika nguo ndani au bafuni hunyauka na sio kukauka ( elewa hapo) maana yake kama imenyauka ikikutana na joto lolote lazima ivunde hiyo nguo.. ila kama imekauka ata ikutane na joto la haina gani aiwezi kuvunda..
Nachojua wadada huko chini ni joto juu ya joto ( especially wa dar ) Tait na chupi zote hazijaonja jua yaan zimenyauka tu na ww umezutupia pwaaaaah.. lol unataka kusitoe harufu huko? Unataka fangasi wasikutafune? Jaman badiliken dada zangu nguo zenu anikeni nje kwenye jua au chafu zinaukoko mnaogopa watu wataona?? .. uchafu utabaki wako jitunze afya yako, sasa mpaka mtoto mdogo chupi zake bafuni baada ya miaka 20 huyo mtoto huko chini atakuwa salama??
Mwanamke msafi awezi kuanika nguo zake za ndani bafuni ata kidogo.. wanao anika bafuni wengi ni wachafu wanaona aibu maan wengine vyupi zao oversize[emoji23][emoji23]
Mwenye masikio na asikie sababu jua tumeumbiwa kukausha nguo zote sasa nyie kumzihaki Mungu jua likaushe tu suruali na mashati [emoji23][emoji23] ni dhambi..
Happy New year!!
Sent using
Jamii Forums mobile app