Kwetu Iringa
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 355
- 89
Madaktari hawatibu kwa njia ya simu, barua wala kwa njia ya mitandao. Usiende pharmacy maana pharmacists hawajafundishwa kutibu. Nenda hospitali ukaonane na qualified doctor.
UTI haiambukizwi kwa njia ya kutumia public toilets. Fungus ya ndani ya uke wa mwanamke (candidiasis) pia haiambukizwi kwa njia ya kutumia public toilets. Fungus ya ngozi ndiyo inaweza kuambukizwa kwa ku-share toilets.
UTI haiambukizwi kwa njia ya kutumia public toilets. Fungus ya ndani ya uke wa mwanamke (candidiasis) pia haiambukizwi kwa njia ya kutumia public toilets. Fungus ya ngozi ndiyo inaweza kuambukizwa kwa ku-share toilets.



