Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Ukipata cream jamii ya allylamines kwenye pharmacy kubwa itakufaa sana.

Ukioga hakikisha umejikausha kabisa na taulo

Usishirikiane taulo na mtu mwingine na ufue kila wiki na kulianika juani.

Paka dawa mara mbili au tatu kwa siku, asubuhi ukiamka, lunch time na kabla hujalala.

Baada boxer za cotton.
asante wacha nitumie na hili
 
Mkuu dawa ya mwanzo uliyoanza kupaka inaitwaje?Kwa sababu na mimi napata shida kweli nakuta eneo kubwa limechubuka sijui tatzo nini
Jamani naombeni msaada, Tabu yangu iko pale pale kwa zaidi ya miaka kadhaa sasa.
Fangasi sehem za siri imekuwa tatizo kwangu nashindwa nifanye vipi ili nipone niametumia dawa aina tofauti lakin tatizo liko pale pale.
nimejaribu kufuatilia mtandaon huu ugonjwa unaitwa JOCK ITCH(tinea cruris) sasa kwenye suala la matibabu ndio imekuwa tabu kwangu.

naombeni msaada wana jamvi wenzangu kwa yeyote mwenye ufaham na hili.
 
Hii imenisaidia mimi
1558195712313.jpeg
 
Duh, hadi mwanaume uwe na fangasi sehem za siri aisee mpaka uwe mchafu kiasi cha kitosha tu. Nakushauri utupe boxer zote nunua mpya. Anza kutumia grisuflavin kidonge kimoja kila siku kwa muda wa miezi 3. Ila wakati huo paka kitunguu swaum kila usiku unapolala, kisage hadi kiwe uji pakaza halafu uvae boxer yako. Usifanye mapenzi mudda huo. Na kama una mkr basi na yeye atumie hiyo dose. But kama huna basi mpenzi wako. Kama huna mpenzi permanent wape kibuti wote tafuta wengine
 
Ukipata cream jamii ya allylamines kwenye pharmacy kubwa itakufaa sana.

Ukioga hakikisha umejikausha kabisa na taulo

Usishirikiane taulo na mtu mwingine na ufue kila wiki na kulianika juani.

Paka dawa mara mbili au tatu kwa siku, asubuhi ukiamka, lunch time na kabla hujalala.

Vaa boxers za cotton.
Mkuu mimi huwa nakupenda kwa hivi; Hauna kiburi katika kumsaidia muhitaji. Kunako thread za afya, mimi kwako ni wa kwanza kukutupia jicho. Asante
 
Tafuta dawa aina ya fluccomazole,na poda yake na kuna dawa za kunywa citricol,
Pia jarbu kufanyia usafi vizur kausha kisha upake,badili boksa kila siku
 
Nilianza kupata muwasho sehemu ya korodani mbili zikiwasha sana

Na uume ukawa unawasha kwenye kichwa nikaenda hospital kucheki magonjwa ya zinaa kama HIV Kaswende na kisonono na damu pia nikakutwa nipo salama kabisa

Sasa hivi katika kutafuta suluhu na kupitia pitia mitandaoni nikakutana na habari ya fungus dalili za fangas za sehemu za siri kwa wanaume zote ninazo kwasababu

- ndani ya uume kuna muwasho

Ngozi ya nje ya korodani inawasha
eneo katikati ya makalio na kuzunguka korodani hadi kwenye mapaja panawasha sana hadi kero


Kichwa cha uume kimebadilika na kuwa chekundu na kuwasha hususan wakati wa kuoga wakati najisafisha au kujisugua

Pia sahivi nimeanza kupata muwasho sehemu za mapajani yaani ikifika muda fulani panawasha balaa

Naombeni mnishauri jee dawa za hizi fungus ninini hizi za wanaume?vipi mliougua hili tatizo mlisolve vipi?
 
Daaah pole sana mkuu nauhakika kukikucha wadau watatoa ushauri wao mzuri tu.
 
Nenda hospital wajaribu kufanya culture and sensitivity kwa namna watakayoona inafaa upate tiba sahihi mkuu
 
Nilianza kupata muwasho sehemu ya korodani mbili zikiwasha sana

Na uume ukawa unawasha kwenye kichwa nikaenda hospital kucheki magonjwa ya zinaa kama HIV Kaswende na kisonono na damu pia nikakutwa nipo salama kabisa

Sasa hivi katika kutafuta suluhu na kupitia pitia mitandaoni nikakutana na habari ya fungus dalili za fangas za sehemu za siri kwa wanaume zote ninazo kwasababu

- ndani ya uume kuna muwasho

Ngozi ya nje ya korodani inawasha
eneo katikati ya makalio na kuzunguka korodani hadi kwenye mapaja panawasha sana hadi kero


Kichwa cha uume kimebadilika na kuwa chekundu na kuwasha hususan wakati wa kuoga wakati najisafisha au kujisugua

Pia sahivi nimeanza kupata muwasho sehemu za mapajani yaani ikifika muda fulani panawasha balaa

Naombeni mnishauri jee dawa za hizi fungus ninini hizi za wanaume?vipi mliougua hili tatizo mlisolve vipi?

Pole sana
 
Pole sana mkuu ila nivyema ungeenda hospitali bado mapema kwa utatuzi wa tatizo lako maana humu watu wataishia kukuomba picha na mpaka apatikane wa kukusaidia muda utakua umeenda
 
Acha uga wa kwenda kwa doctor kujieleza tumia dawa inaitwa KETINEAL at week umalizi mkuu unapona
 
Back
Top Bottom