Tatizo la machinga: Sasa Serikali imeanza kuamka toka usingizi wa ganzi

Tatizo la machinga: Sasa Serikali imeanza kuamka toka usingizi wa ganzi

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Toka Serikali ya Awamu ya Tano ilipoanza kuwatukuza "wanyonge" kundi ambalo wamachinga wakaingizwa, ganzi iliingiwa kisawaswa katika vyombo karibia vyote vya dola.

Rsis wa wakati huo alirudia rudia kuwa yeye yupo pale kwa ajili ya wanyonge, hivyo wasibugudhiwe mijini.

Matokeo ya miaka mitano ya hii anarchism kutoka kwa wanyonge hao, yameonekana miji yote nchini.

Ikawa biashara ya machinga ni popote alipo binadamu.
Migahawa, nyanya na kabichi, nguo, viatu, vyombo vya ndani vyote vikavamia barabarani.

Barabara zikawa zinagombewa na machinga, bidaboda, wapita njia kwa miguu na magari.

Hapo hakuna tena sheria za traffic au vibali vya biashara au sheria za afya.

Vyote vilikula ganzi aliyoinjikwa na Magufuli.
Wanyonge wasibugudhiwe.

Matokeo yake mji kama DSM , uchafu, kinyesi, takataka na hata magonjwa ya matumbo yameongezeka.
Ajali ndio usiseme, boda boda wanajiendea wapendavyo.

Sasa baada ya ajali dhahiri ya Kariakoo na moto wa soko la Kariakoo, taratibu ganzi imeanza kuiachia serikali.

Sasa serikali inagundua kuwa kuna Roadway Ordinance Act, kuna Road Traffic Act, kuna sheria za Mipango Miji na Afya.
Na serikali vile vile wameanza kukumbushwa juu ya Sheria za Biashara.

Wasi wasi wangu ni kama ganzi iliyopigwa na Mwendazake kwa vyombo vya dola itatoka kikamilifu ili miji ijiendedhe kistaarabu kama Awamu zilizotangulia au hilo ganzi kuwendelea karibu na uchaguzi.
 
Toka Serikali ya Awamu ya Tano ilipoanza kuwatukuza "wanyonge" kundi ambalo wamachinga wakaingizwa, ganzi iliingiwa kisawaswa katika vyombo karibia vyote vya dola.

Rsis wa wakati huo alirudia rudia kuwa yeye yupo pale kwa ajili ya wanyonge, hivyo wasibugudhiwe mijini.

Matokeo ya miaka mitano ya hii anarchism kutoka kwa wanyonge hao yameinekana miji yote nchini.

Ikawa machinga ni popote alipo binadamu.
Migahawa, nyanya na kabichi, nguo, viatu, vyombo vya ndani vyote vikavamia barabarani.

Barabara zikawa zinagombewa na machinga, bidaboda, wspita njia kwa miguu na magari.

Hapo hskuna tena sheria za traffic au vibali vya biashara au sheria za afya.
Vyote vilikula ganzi

Matokeo yske mjikama DSM , uchafu, kinyesi, takataka na hata magonjwa ya matumbo yameongezeka.
Ajali ndio usiseme.

Sasa baada ya ajali dhahiri Kariakoo na moto wa soko la Kariakoo, taratibu ganzi imeanza kuiachia serikali.

Sasa serikali inagundua kuwa kuna Roadway Ordinance Act, kuna Road Traffic Act, kuna sheria za Mipango Miji na Afya.
Na seriksli vile vile wameanza kukumbushwa juu ya Sheria za Biashara.

Wasi wasi wangu ni kama ganzi iliyopigwa na Mwendazake kwa vyombo vya dola itatoka kikamilifu ili miji ijiendedhe kistaarabu kama Awamu xilizotangulia au hilo ganzi kuwendelea karibu na uchaguzi.
Ujambaz na ntarahamwe in making

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka Serikali ya Awamu ya Tano ilipoanza kuwatukuza "wanyonge" kundi ambalo wamachinga wakaingizwa, ganzi iliingiwa kisawaswa katika vyombo karibia vyote vya dola.

Rsis wa wakati huo alirudia rudia kuwa yeye yupo pale kwa ajili ya wanyonge, hivyo wasibugudhiwe mijini.

Matokeo ya miaka mitano ya hii anarchism kutoka kwa wanyonge hao yameinekana miji yote nchini.

Ikawa machinga ni popote alipo binadamu.
Migahawa, nyanya na kabichi, nguo, viatu, vyombo vya ndani vyote vikavamia barabarani.

Barabara zikawa zinagombewa na machinga, bidaboda, wspita njia kwa miguu na magari.

Hapo hskuna tena sheria za traffic au vibali vya biashara au sheria za afya.
Vyote vilikula ganzi

Matokeo yske mjikama DSM , uchafu, kinyesi, takataka na hata magonjwa ya matumbo yameongezeka.
Ajali ndio usiseme.

Sasa baada ya ajali dhahiri Kariakoo na moto wa soko la Kariakoo, taratibu ganzi imeanza kuiachia serikali.

Sasa serikali inagundua kuwa kuna Roadway Ordinance Act, kuna Road Traffic Act, kuna sheria za Mipango Miji na Afya.
Na seriksli vile vile wameanza kukumbushwa juu ya Sheria za Biashara.

Wasi wasi wangu ni kama ganzi iliyopigwa na Mwendazake kwa vyombo vya dola itatoka kikamilifu ili miji ijiendedhe kistaarabu kama Awamu xilizotangulia au hilo ganzi kuwendelea karibu na uchaguzi.
Mwendazake pasipo na shaka yoyote alikuwa taahira kuliko tulivyowahi kufikiria! Ni nchini fakini pekee inayojiendesha bila kufuata kanuni na taratibu! Matokeo yake ni vurugu, uchafu na sintofahamu Kila mahali!
 
Dhalimu aliamua kutoa ruhusa ya biashara holela maana alijua wamachinga wengi ni washabiki wa cdm, sasa ili kuwapata ni kuwaruhusu wafanye biashara popote ili wasiisupport cdm. Kulazimisha kupendwa kumeiponza miji yetu na biashara holela.
 
Mwendazake pasipo na shaka yoyote alikuwa taahira kuliko tulivyowahi kufikiria! Ni nchini fakini pekee inayojiendesha bila kufuata kanuni na taratibu! Matokeo yake ni vurugu, uchafu na sintofahamu Kila mahali!
Hizo kanuni zifuatwe na hao wenye madaraka pia haipendezi mtu agawane hela na wenzie kwenye Viroba kisha wanaendelea kumenya kitaa!
 
Toka Serikali ya Awamu ya Tano ilipoanza kuwatukuza "wanyonge" kundi ambalo wamachinga wakaingizwa, ganzi iliingiwa kisawaswa katika vyombo karibia vyote vya dola.

Rsis wa wakati huo alirudia rudia kuwa yeye yupo pale kwa ajili ya wanyonge, hivyo wasibugudhiwe mijini.

Matokeo ya miaka mitano ya hii anarchism kutoka kwa wanyonge hao yameinekana miji yote nchini.

Ikawa machinga ni popote alipo binadamu.
Migahawa, nyanya na kabichi, nguo, viatu, vyombo vya ndani vyote vikavamia barabarani.

Barabara zikawa zinagombewa na machinga, bidaboda, wspita njia kwa miguu na magari.

Hapo hskuna tena sheria za traffic au vibali vya biashara au sheria za afya.
Vyote vilikula ganzi

Matokeo yske mjikama DSM , uchafu, kinyesi, takataka na hata magonjwa ya matumbo yameongezeka.
Ajali ndio usiseme.

Sasa baada ya ajali dhahiri Kariakoo na moto wa soko la Kariakoo, taratibu ganzi imeanza kuiachia serikali.

Sasa serikali inagundua kuwa kuna Roadway Ordinance Act, kuna Road Traffic Act, kuna sheria za Mipango Miji na Afya.
Na seriksli vile vile wameanza kukumbushwa juu ya Sheria za Biashara.

Wasi wasi wangu ni kama ganzi iliyopigwa na Mwendazake kwa vyombo vya dola itatoka kikamilifu ili miji ijiendedhe kistaarabu kama Awamu xilizotangulia au hilo ganzi kuwendelea karibu na uchaguzi.
HAYO NDIO MATATIZO ya KUTANGULIZA SIASA BADALA YA UTALAAMU KILA MAHALI BIASHARA MPAKA JUU YA MAKABULI KISA MACHINGA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Sheria zifuatwe na kila mmoja laa sivyo tutashuhudia Mama ntilie wakipikia vibua ndani ya mabasi mwendokasi.
 
Toka Serikali ya Awamu ya Tano ilipoanza kuwatukuza "wanyonge" kundi ambalo wamachinga wakaingizwa, ganzi iliingiwa kisawaswa katika vyombo karibia vyote vya dola.

Rsis wa wakati huo alirudia rudia kuwa yeye yupo pale kwa ajili ya wanyonge, hivyo wasibugudhiwe mijini.

Matokeo ya miaka mitano ya hii anarchism kutoka kwa wanyonge hao yameinekana miji yote nchini.

Ikawa machinga ni popote alipo binadamu.
Migahawa, nyanya na kabichi, nguo, viatu, vyombo vya ndani vyote vikavamia barabarani.

Barabara zikawa zinagombewa na machinga, bidaboda, wspita njia kwa miguu na magari.

Hapo hskuna tena sheria za traffic au vibali vya biashara au sheria za afya.
Vyote vilikula ganzi

Matokeo yske mjikama DSM , uchafu, kinyesi, takataka na hata magonjwa ya matumbo yameongezeka.
Ajali ndio usiseme.

Sasa baada ya ajali dhahiri Kariakoo na moto wa soko la Kariakoo, taratibu ganzi imeanza kuiachia serikali.

Sasa serikali inagundua kuwa kuna Roadway Ordinance Act, kuna Road Traffic Act, kuna sheria za Mipango Miji na Afya.
Na seriksli vile vile wameanza kukumbushwa juu ya Sheria za Biashara.

Wasi wasi wangu ni kama ganzi iliyopigwa na Mwendazake kwa vyombo vya dola itatoka kikamilifu ili miji ijiendedhe kistaarabu kama Awamu xilizotangulia au hilo ganzi kuwendelea karibu na uchaguzi.
Uwaonavyo unadhani huwa wanahofia uchaguzi hao pipo?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Dhalimu aliamua kutoa ruhusa ya biashara holela maana alijua wamachinga wengi ni washabiki wa cdm, sasa ili kuwapata ni kuwaruhusu wafanye biashara popote ili wasiisupport cdm. Kulazimisha kupendwa kumeiponza miji yetu na biashara holela.
Sheria lazima ziheshimiwe hata kama unaona kisiasa linaleta matatizo.
La sivyo tutengue sheria iwe Law of the Jungle.
 
Back
Top Bottom