Tatizo la machinga: Sasa Serikali imeanza kuamka toka usingizi wa ganzi

 
Kama Arusha ile barabara ya kuelekea Krokoni kutokea mataa yote ilikua imechukuliwa na machinga nyanya zinatandikwa hadi barabarani
 
Ukweli yule angeweza kuishi muda mrefu naona Tz sifa kubwa ingikuwa umaskini na unyonge ukionekana unakaa nyumba nzuri na unavihela basi wewe utakuwa FISADI au sio MZALENDO kwahiyo lazima wakutupe LUPANGO utakaa humu hadi ufe.
 
Ukweli yule angeweza kuishi muda mrefu naona Tz sifa kubwa ingikuwa umaskini na unyonge ukionekana unakaa nyumba nzuri na unavihela basi wewe utakuwa FISADI au sio MZALENDO kwahiyo lazima wakutupe LUPANGO utakaa humu hadi ufe.
Ukweli lazima usemwe, waliwaita watu wanyonge si kuwassidia bali kuwatumia kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…