Elifuraha Longu
Member
- May 8, 2014
- 73
- 10
Habari wanaJF,
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na macho huwa macho yananiwasha sana ambapo kwa sasa hali imekuwa mbaya najua walioko humu jukwaani wanaweza kunipa ushauri niende hospitali kupima au kuna dawa mbadala. Pia endapo nitatumia miwani huwa inauzwaje?
Ahsanteni.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na macho huwa macho yananiwasha sana ambapo kwa sasa hali imekuwa mbaya najua walioko humu jukwaani wanaweza kunipa ushauri niende hospitali kupima au kuna dawa mbadala. Pia endapo nitatumia miwani huwa inauzwaje?
Ahsanteni.