Tatizo la mafua ya muda mrefu

Tatizo la mafua ya muda mrefu

Hiter

Member
Joined
Jan 6, 2025
Posts
8
Reaction score
9
Wakuu poleni nyote na majukumu ya leo, msaada naombeni Kuna ndugu yangu anamafua ya muda mrefu yapata Kama mwaka, alienda hospital akapatiwa dawa za allergy au mzio lakini Bado ,yani pua zinamziba sometimes anashindwa hata kuhema vizuri msaada wakuu nafanyaje hapa Sasa .
 
Wakuu poleni nyote na majukumu ya leo, msaada naombeni Kuna ndugu yangu anamafua ya muda mrefu yapata Kama mwaka, alienda hospital akapatiwa dawa za allergy au mzio lakini Bado ,yani pua zinamziba sometimes anashindwa hata kuhema vizuri msaada wakuu nafanyaje hapa Sasa .

Pole sana.

Mshauri aende hospitali kubwa akaonane na daktari bingwa wa koo, pua na masikio (ENT Specialist) ili afanyiwe uchunguzi wa pua zake ili kubaini tatizo lake na hatimaye kupatiwa matibabu sahihi.

Kila la kheri.
 
Pole sana.

Mshauri aende hospitali kubwa akaonane na daktari bingwa wa koo, pua na masikio (ENT Specialist) ili afanyiwe uchunguzi wa pua zake ili kubaini tatizo lake na hatimaye kupatiwa matibabu sahihi.

Kila la kheri.
Asante kwa ushauri wako mkuu🙏🙏
 
Back
Top Bottom