Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,281
- 1,300
Habari za muda.
Naomba kujua sababu ya mafua ya mara kwa mara pamoja na tiba yake.
Ahsante.
Naomba kujua sababu ya mafua ya mara kwa mara pamoja na tiba yake.
Ahsante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapime ngwengwe kaka/ dada....Habari za muda.
Naomba kujua sababu ya mafua ya mara kwa mara pamoja na tiba yake.
Ahsante.
Hayo mafua yanakuwaje? Pua zinabana kabisa?Habari za muda.
Naomba kujua sababu ya mafua ya mara kwa mara pamoja na tiba yake.
Ahsante.
Hapna sio ya kubana ila mara kwa mara yanakujaHayo mafua yanakuwaje? Pua zinabana kabisa?
Kula Asubuhi punje 2 za kitunguu Saumu tafuna umeze kwa maji ya uvuguvugu na wakati wa mchana kula tena na usiku kula tena punje 2 kitunguu saumu fanya hivyo siku 3 umepona hayo mafua yako.Habari za muda.
Naomba kujua sababu ya mafua ya mara kwa mara pamoja na tiba yake.
Ahsante.