Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ukija kwa hoja utajibiwa kwa hoja ukija kwa matusi utapimiwa sawa na mahitaji yakoMatusi kawaida yako mzee Bejamini Netanyahu, huna hoja, unawakilisha vyema kabisa kambi ile ya matusi,
Unaishi wapi Ng'wanamangilingili ? maana kulikokuwa na shida ya maji ni Dar Es Salaam ambako maji sasa ni uhakika asilimia 100.Tafadhali acha ujinga. Niko gizani na sina maji
Ni muhimu saana maramojatu katika hilo, pia kuanzia ngazi ya familia kuhakikisha tunapanda miti na kusaidia kuzuia uhalibifu wa vyanzo vya majiTuanze utaratibu wa kuhifadhi maji kuanzia ngazi ya familia. Pia idara za maji zianze utaratibu wa kuchimba mabwawa ya kuhifadhi maji ya mvua. Hii itasaidia wakati wa ukame
JokaKuu Mimi sio msemaji wa Serikali, lakini naziona jitihada za Serikali katika kuifungua Tanzania ili kupata wawekezaji wengi ili kuweza kutanua wigo wa ajira, miaka ya nyuma sekta binafs ilikuwa ina ajiri watu wengi sana, lakini hapa katikati kumekuwa tofauti, naona jitihada za Serikali kuhakikisha sekta binafsi inainuka tena...tatizo la UKOSEFU WA AJIRA mtalitatua kwa kiwango gani?
SAGAI GALGANO Basi na wewe tukana ili ukawe msaidizi wa Lema , una mawazo mgandoMtasifia ujinga sana lakini hamteuliwi ng'o !!! CCM ina wenyewe na nyie siyo sehemu ya hao wenyewe, nyie vibaka tu
Serikali haina uwezo wa kutatua hayo nayoyasema . Ni Mungu tu atunusuru na hii hari.Serikali ya awamu ya sita haijawahi kupumzika katika kutatua kero za Watanzania, tatizo la maji lililokuwa limetokea hivi karibuni hasa kwa Wakazi wa Dar Es Salaamu limetatuliwa kwa asilimia 100, tatizo la mgao wa umeme liko mwishoni kuwa historia, kila kitu kinahitaji muda na fedha.
Watanzania tuendelee kuunga mkono Serikali ya awamu ya Sita, miradi yote ya maendeleo iiliyopangwa kutekelezwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imeanza kutekelezwa, fedha zimeshapelekwa, miradi iliyokuwa imeanza kutekelezwa miaka ya nyuma hakuna mradi hata mmoja uliosimama.
Ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara za mwendo kasi, madaraja, vivuko, SGR, JNHPP, Ujenzi wa madarasa, ujenzi wa mabweni, ujenzi wa nyumba za Watumishi, Ujenzi wa majengo ya kiutawala, miradi ya kilimo etc.
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, iko kwa ajili ya Watanzania na ni ukweli usio pingika awamu hii hali ya Demokrasia ni ya juu kabisa, ndio maana kila mtu yuko huru kutoa maoni na akasikilizwa. Tatizo la vijana wengi wanaamini kutukana na kukosoa tu ndio kutoa maoni.
Tuipende Tanzania yetu, tuunge mkono juhudi za Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Ndiyo mafundisho mnayopewa huko ccm ukosoaji mnaita matusi, hebu niambiie tusi liko wapi hapo?SAGAI GALGANO Basi na wewe tukana ili ukawe msaidizi wa Lema , una mawazo mgando
Mkuu Nangu Nyau unachosema ndio Serikali ya awamu ya sita sasa inachokifanya ili hapo baadaye kusiwe na shida kama hizi, Serikali imeendelea kuwekeza mabilion ya fedha ili kutafuta chanzo mbadala na tofauti tofauti cha umeme, ndio maana unaona JNHPP inaendelea, kuna miradi ya gesi, jua , upepo inakuja, kikubwa ni kuunga mkono juhudi za Serikali, uwekezaji mkubwa kama huo ni ngumu kukamilisha kwa miaka miwili ambapo Serikali ya awamu hii imekuwa madarakani
Tuanze na sisi wenyewe.... Sio lazima kila kitu tusubiri serikali. Usafi wa mazingira yeti, ulinzi wa vyanzo by maji na rasilimali nyingine, malezi mema ya watoto wetu na wengine yatasaidia kuhakikisha tunapiga hatua kwenda kwenye maendeleo chanyaSeriakli ilikua haijui nini cha kufanya...
Ashukuriwe Mungu aliyeshusha na kuleta mvua...
Tatizo la maji Dar es Salaam halikutatuliwa na serikali bali limetatuliwa na mvua kunyesha. Litaendelea kujirudia hadi Litakapotatuliwa na serikali mwaka 2025 kwa kukamilika kwa ujenzi wa bwawa la kidunda.tatizo la maji lililokuwa limetokea hivi karibuni hasa kwa Wakazi wa Dar Es Salaamu limetatuliwa kwa asilimia 100, tatizo la mgao wa umeme liko mwishoni kuwa historia ........ ...
JokaKuu Mimi sio msemaji wa Serikali, lakini naziona jitihada za Serikali katika kuifungua Tanzania ili kupata wawekezaji wengi ili kuweza kutanua wigo wa ajira, miaka ya nyuma sekta binafs ilikuwa ina ajiri watu wengi sana, lakini hapa katikati kumekuwa tofauti, naona jitihada za Serikali kuhakikisha sekta binafsi inainuka tena.
Sio awamu ya 6 ni awamu ya 5 bSerikali ya awamu ya sita haijawahi kupumzika katika kutatua kero za Watanzania, tatizo la maji lililokuwa limetokea hivi karibuni hasa kwa Wakazi wa Dar Es Salaamu limetatuliwa kwa asilimia 100, tatizo la mgao wa umeme liko mwishoni kuwa historia, kila kitu kinahitaji muda na fedha.
Watanzania tuendelee kuunga mkono Serikali ya awamu ya Sita, miradi yote ya maendeleo iiliyopangwa kutekelezwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imeanza kutekelezwa, fedha zimeshapelekwa, miradi iliyokuwa imeanza kutekelezwa miaka ya nyuma hakuna mradi hata mmoja uliosimama.
Ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara za mwendo kasi, madaraja, vivuko, SGR, JNHPP, Ujenzi wa madarasa, ujenzi wa mabweni, ujenzi wa nyumba za Watumishi, Ujenzi wa majengo ya kiutawala, miradi ya kilimo etc.
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, iko kwa ajili ya Watanzania na ni ukweli usio pingika awamu hii hali ya Demokrasia ni ya juu kabisa, ndio maana kila mtu yuko huru kutoa maoni na akasikilizwa. Tatizo la vijana wengi wanaamini kutukana na kukosoa tu ndio kutoa maoni.
Tuipende Tanzania yetu, tuunge mkono juhudi za Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Tatizo la Maji limetatuliwa na Mvua zilizoanza kunyesha, wacha maneno mengi..