Tatizo la Maji Mtama laibua mapya, Nape ashutumiwa kwa kutokaa jimboni mwake. Adaiwa kuonekana na Irene Uwoya hotelini

Tatizo la Maji Mtama laibua mapya, Nape ashutumiwa kwa kutokaa jimboni mwake. Adaiwa kuonekana na Irene Uwoya hotelini

Uwoya tena,duh!Viongozi wetu mabomu sana.Mwalimu Nyerere alichukia sana tabia hizi za mtaani.Unapokuwa kiongozi ni lazima uwe mtu wa kuheshimika.Ni kiongozi halafu unafukuzia malaya mtaani?!Haikubaliki.Ni vema ukachagua moja, umalaya au uongozi.
hujui unachosema
 
Kwani huyo Irene yeye aruhusiwi kufanya utalii wa ndani?

Kama alikuwa anamuachia 'Mtoto' (Dongo Janga) pesa ya matumizi hakuna alichoharibu, tafuta umbeya mwingine.
 
Uwoya tena,duh!Viongozi wetu mabomu sana.Mwalimu Nyerere alichukia sana tabia hizi za mtaani.Unapokuwa kiongozi ni lazima uwe mtu wa kuheshimika.Ni kiongozi halafu unafukuzia malaya mtaani?!Haikubaliki.Ni vema ukachagua moja, umalaya au uongozi.
We bwana we! Hayo maadili ni historia tuu, kama mzee baba anaenda hadi Kisarawe kwa "mwanae" ili ajiliwaze itakuwa huyu muhuni Nape?
 
Hivi mwamasiasa / raia wa kawaida hawezi kukaa na mtu kama Irene Uwoya hotelini? hawawezi kuwa na cha kuongea tofauti na mapenzi?
Pengine aina ya mkao waliokaa ndio unahalalisha au unaharamisha
 
Kosa ni Maji, Hoteli au Uwoya ? Maji na kwa mbunge kutokufika jimboni huenda ikawa point.., la Uwoya na maisha yake ni siasa za maji taka maisha yake binafsi ni ya kwake tuache kuchanganya personal issues na mambo ya jumuiya
 
We bwana we! Hayo maadili ni historia tuu, kama mzee baba anaenda hadi Kisarawe kwa "mwanae" ili ajiliwaze itakuwa huyu muhuni Nape?
Sishangai lakini kweli mkuu,maana hata yeye mwenyewe ametokana na tabia hizo hizo.Basi bwana nimekuelewa.Like father like son.
 
Baada ya Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kusema yeye ni Mkazi wa Kijiji kinachoonekana kuwa na maji machafu na Wakazi wa kijiji hicho kutumia maji hayo kwa shughuli zao, na Mbunge huyo kusema tatizo hilo lapo hivyo. Mdau kaja na hoja za kumuhoji kuwa anakaa wapi?

Mdau anadai siku zote tangu Kampeni Nape alikuwa anafikia hoteli ya Oceanic tena akiwa na mrembo Irene Uwoya. Mdau kwa kujiaminia akamtaka Nape abishe ili alete picha kama ushahidi.

View attachment 1245990

Lakini Nape bila kutoa neno lolote amemtandika block mdau huyo jambo lililomuibua tena mdau.

Mdau akaja kisisitiza kuwa Nape hajaishi Mtama na kama ana hata Kiwanja aseme. Lakini pia amesisitiza kuwa anaweka hadharini picha za Nape akiwa na Uwoya huko Oceanic Hotel

View attachment 1245989
Wanasiasa kuwa karibu na warembo ni kitu cha kawaida sana.
Hata hapa niliwahi kuuliza
P
 
Aache kukaa mjini kwenye live band na zilipendwa huku akipata bia baridi na mchemsho au nyama choma akakae porini ambapo kuna sauti za ndege tu hao wananchi wamechanganyikiwa sio bure
 
Baada ya Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kusema yeye ni Mkazi wa Kijiji kinachoonekana kuwa na maji machafu na Wakazi wa kijiji hicho kutumia maji hayo kwa shughuli zao, na Mbunge huyo kusema tatizo hilo lapo hivyo. Mdau kaja na hoja za kumuhoji kuwa anakaa wapi?

Mdau anadai siku zote tangu Kampeni Nape alikuwa anafikia hoteli ya Oceanic tena akiwa na mrembo Irene Uwoya. Mdau kwa kujiaminia akamtaka Nape abishe ili alete picha kama ushahidi.

View attachment 1245990

Lakini Nape bila kutoa neno lolote amemtandika block mdau huyo jambo lililomuibua tena mdau.

Mdau akaja kisisitiza kuwa Nape hajaishi Mtama na kama ana hata Kiwanja aseme. Lakini pia amesisitiza kuwa anaweka hadharini picha za Nape akiwa na Uwoya huko Oceanic Hotel

View attachment 1245989
Nape kawashika pabaya,tunataka ukaguzi wa mikopo iliokopwa na marehemu tuone huo uadilifu wenu
 
Back
Top Bottom