johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkoloni aliondoka mwenyeweMiaka 60 baada ya kumfukuza mkoloni
Sasa tutaishije?Mvua hakuna ....ukame sana
Mvua zipo karibuni,na zikija tukazane kupanda miti ili isaidie kushawishi mvua mapemaSasa tutaishije?
Sabodo anasemaje hapo Ufipa st?Tatizo ni watu wachache wa akili za kiwango na aina yako ndio wanahusika kusimamia wengine wengi kupata maji.
Mimi nauliza Dar waliko DAWASAMbona na mwanza hakuna maji au nako ni mto Ruvu na dawasa[emoji706]
Mbona umesahau lile sakata tulielezwa Mchina alikuwa anamwagilia sana mashamba yake na alisimamishwa hizo shughuliNakumbuka mwaka jana maji yalivyopungua mheshimiwa alituambia tunakata Sana miti..mwaka huu mkuu wa mkoa alituambia CCM haijaleta ukame.mwakani majira kama haya tutaambiwa tunaoga sana
Hahaha......mh!Siyo kuoga tu na kukata gogo piaView attachment 2402724