Dibwi Method
Member
- Nov 22, 2021
- 31
- 28
Sababu kuu zinazopelekea shida ya maji inayoendelea Jijini Dar es Salaam na mikoa mingine hapa nchini, ni zao la Watangulizi wa Mama.
Hii shida imekuwepo kwa muda mrefu sana, haijaanza mwaka jana mwezi April 2021, tusimnyooshee kidole SSH kwa sababu tu yeye ndiye aliye madarakani kwa sasa.. turudi nyuma kwa Waliomtangulia na tutajua ni wapi tulikwamishwa na ni nini tufanye ili kuondokana na tatizo hili!
Hii shida imekuwepo kwa muda mrefu sana, haijaanza mwaka jana mwezi April 2021, tusimnyooshee kidole SSH kwa sababu tu yeye ndiye aliye madarakani kwa sasa.. turudi nyuma kwa Waliomtangulia na tutajua ni wapi tulikwamishwa na ni nini tufanye ili kuondokana na tatizo hili!