Tatizo la Majina ya Kiislam Katika Viya ya Maji Maji 1905 - 1907

Hata Uislamu ni dini ya kigeni Africa.
 
Lakini mapepo na majini ni ndugu wa waislam. Je unaweza mfukuza nduguyako?
 
Lakini mapepo na majini ni ndugu wa waislam. Je unaweza mfukuza nduguyako?
Hamna kitu kama hicho katika uislam,mapepo,waislam wanawaita mashetani na majini ni adui mkubwa wa Uislam..

Muislam anatakiwa amlaani shetani kabla ya kufanya kitu chochote kile,kwa kusema "audhu bilahi minal sheitan rajim"..

Propaganda za kuutia ubaya Uislam ndio iliyokifanya wewe uandike hayo..

Je katika dini yako kuna sehemu yoyote inayokufundisha wewe kumlaani Shetani?
 
Wewe uliyatoa wapi hayo majina mengine ambayo unafikiri ndio makamilifu na sahihi??
 
Mini...
Majina kama majina hayana maana yoyote mpaka ujue historia za wenye majina hayo.

Nakuwekea majina na historia ya wenye hayo majina.

Kleist Abdallah Sykes, Mzee bin Sudi, Suleiman Majisu, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima, Ibrahim Hamisi, Rawson Watts, Cecil Matola na Raikes Kusi.

Hawa ni waasisi wa African Association 1929.

Hii ndiyo historia ya hao wenye majina hayo.

AA ikawa TAA na ikawa TANU 1954.

Abdulwahid Kleist Sykes, Hamza Mwapachu, Sheikh Hassan bin Ameir (Mufti wa Tanganyika), Sheikh Said Chaurembo, Vedasto Kyaruzi, John Rupia na Steven Mhando.

Hawa walikuwa wajumbe wa TAA Political Subcommittee 1950.

Hii ndiyo historia yao.

Mkutano wa kwanza wa TANU August, 1954 ulihudhuriwa na hao hapo chini:

Julius Nyerere, Denis Phombeah, John Rupia, Frederick Njiliwa, Abdulwahid na Ally Sykes, Dossa Aziz, Mshume Kiyate, Makisi Mbwana, Jumbe Tambaza, Juma Waziri, Clement Mohamed Mtamila, Rajabu Diwani, Schneider Abdillah Plantan, Marsha Bilali, Rashid Ally Meli, Iddi Faiz Mafongo, Iddi Tulio, na wengineo watu hawakuzidi 20.

Hii ndiyo historia ya wenye majina hayo.

Angalia picha hiyo hapo chini ya Baraza la Wazee wa TANU mwaka wa 1954 na majina ya wajumbe wake:



Nadhani umeelewa maana ya majina katika historia na ikiwa itakuwapo njama ya kufuta majina haya kwa namna yeyote ile historia itakuwa imevurugwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…