Kabla ata sijakujibu umeshaonyesha ni punguani wahed,,kitu cha kwanza ushaonyesha ni shabiki lia lia wa makolo fc ambao ndo mnapayuka ovyo ovyo apa bila hoja za msingi, mmefanya michezo mingi ya ovyo ovyo kupitia marefa na kwakuwa wewe ni kolo mojawapo ukuweza kunyanyua bakuli lako kukemea isipokuwa umeona ya yanga, Mtaendelea kuumia sana na bado iyo ni trela tu lile fungu alilokuwa amelitenga bosi wenu mzee wa kususa kwa waamuzi na timu pinzani kwa sasa limepungua Kama sio kukata kabisa ndo maana mnapata ukichaa wa ukubwani, sasa hivi mnabaki kurukia matukio ambayo nyie ndo mabingwa wa michezo michafu nani asiejua? Huo ubingwa unaousema umeubeba kwa njia zipi mpuuzi wewe, viporo 7 ulishaona wapi duniani? Magori mangapi yanga wamefunga msimu uliopita na waamuzi hao hao wakayakataaa, ulikuwa kiwete mda huo? Unajitapa mmefika robo fainali kwani atujui michezo yenu mliyokuwa mnafanya pale uwanjani? Sasa mliposhtukiwa Mara hii mmeishia wapi? Wewe ujui kitu kaa kimya jielekeze kubishana na mataahira wenzako uko, viungo vya binadamu tungeanza kuokoto kwenye mechi za simba lakini tulikuwa tunajua yana mwisho na sasa dawa inaanza kuwaingia taratibu tutaelewana, kila timu ishinde mechi zake tuone mwisho wa ligi, akuna kucheka na kima safari hii michezo yenu mliyokuwa mnaifanya iyoiyo ndo itawageukia na kuwa kitanzi cha kuwamalizia, fitna bin fitna mlianza sisi tunamaliza