Tatizo la marefa wa Kitanzania lilishatengenezwa muda mrefu na TFF awawezi kulikwepa

MO kanunua mechi mbaka kaamua kutimua mbio baada ya kuona atafilisika
kwaiyo Simba wavumilie kwa miaka 4 Kama Yanga walivyo onyesha uvumilivu kwa miaka 4.
Msimu uliopita goli halali la Yanga lilikataliwa dhidi ya Namungo na ikasemekana mwamuzi ni binadamu ndio maana alikosea, Sasa wasisahau ata Jana mwamuzi alikua binadamu.
 
Sijawahi kuona ubebwaji wa wazi kiasi hiki tangu nianze kuangalia soka duniani.

Namungo wamenyimwa clear penalty mbili.Yanga wanapata penalty yenye mashaka.Kama TFF watainyamazia kimya hii hali na kumuacha mwamuzi kama yule kuendelea kuchezesha,watu wengi tutarudi kwa nguvu zote kwenye soka la maana la ulaya kuliko huu ujinga wa kuleta maigizo ya jinsi hii.
 
Hiyo ya Kagere ilikuwa mwendelezo wa kuwabeba utopolo ili kuwaepusha na red card.
Tunajua janja janja yenu utopolo.Mnatumia sana waamuzi na wasipowasaidia mnalalamika wanawaonea.Imagine ile ya Morrison kuangushwa penalty box halafu mwamuzi anapeta ingekuwa ni nyie utopolo!Mngelia misimu saba mkililia waamuzi na TFF
 
Taarifa yako sio sahihi

Kwenye mechi ya kmc vs yanga kule songea kulikua hakuna penalty
Taarifa yangu ni sahihi ila wewe ndio hauko makini, nimeongelea msimu uliopita je msimu uliopita hakukuwa na penati kmc vs yanga kule songea? Yanga ilishinda 2-1 na goli moja ni la penati ya hovyo.
Msimu ulopita walicheza ccm kirumba mwanza na sio songea
 
Kwa hiyo unakubali kuwa ile penati ilikuwa ni ya "mchongo"? Tuanzie hapo kwanza kabla ya kuendelea na mjadala huu
 
Hivi watu mnawezaje tazama mechi watu wanacheza kama wako majarubani au mbugani.

Timu haziwezi ata kupigiana pasi 10 kwa wakati. Kilichonishangaza jana penalty inapigwa watu wamejaa kwa box kumsindikiza mpigaji
Refa alipagawa yule hahahah nilicheka sana
 
Daah kweli umepagawa we kabwili fc aka wafirwaji ,haya mwenzio kakil wazwaz kuwa Jana kagongwa huyo Ni fei Toto ndipo refa kaweka .
Inabid nikujib sheet tu maana sijaona mtu mwenye hoja hapa Zaid ya viroja ,ndio nyie mnazaliwa mmeambatana na mavi badala ya damu na maji. Yaan Simba achukue ubingwa Mara nne kwa kubebwa tu inamaana uwanjan alikuwa unacheza mkundu wako?
Ulivyo maskin la akil ona Iman yako inakutuma kuwa Simba alifika robo sabab ya uchawi ,kwahiyo na nyie mmeshindwa kuchukua ubingwa Mara nne kisa mmezidiwa uchaw na Simba?Nikisema wewe Ni la Saba E ntakuwa sahihi kabisa maana upeo wako Ni mdogo Sana kwenye analysis ya football.
Ndio maana manara anawageuza anavyotaka km chapat ,kawaponda miaka nenda Rudi leo hii ndie mtu anayewapa furaha na mimeno yote nje ,na uzur alishasema kuwa yanga Kuna watu wawil tu wenye akil kikwete na baba ake tu wengine wote Ni zero brain .
Uzur msimu ndio kwanza unaanza et kila mtu ashinde mechi zake kwa uwezo upi ulio nao wa kushinda mechi zote? Anapigwa man city ,Liverpool ,Chelsea ndio awe yanga wa kushinda mechi zote 32? Mtapasuka Sana tu na tunasubiria kelele zenu za malalamiko mkishaanza kuachwa point na mnyama mkali.

Uzur manara alishawambia ukweli kuwa Simba itachukua ubingwa back to back Mara 10 sijui unakumbuka Hilo au ulikuwa kwenu polin huko ambako hata redio mbao hakuna ?
 
Mambo ya jf bwana unaweza kuta unabishana na shoga moja linaloishi mjini kwa kupakuliwa kisamvu na wakurungwa, any way hongera mwenye akili nyingi nyingi maana hizi I'd fake kila mtu Ni genious Ila tungekuwa wazwaz haki vingekuwa vituko humu kwanza sidhan Kama ungejitokeza kuandika huu ushubwada
 
Taarifa yako sio sahihi

Kwenye mechi ya kmc vs yanga kule songea kulikua hakuna penalty

Msimu ulopita walicheza ccm kirumba mwanza na sio songea
Kwenye uwanja uko sahihi ila kmc vs yanga msimu uliopita kuwa hakukuwa na penati hauko sahihi. Nenda youtube utaona.
 
Shabiki maandazi huna lolote.

Tatizo mnaingia uwanjani na matokeo yenu mfukoni.
 
We ni taahira ayo matusi yanatoka wapi? Matusi unayotoa apa yanakufichua ni mtu wa ovyo kiasi gani, mtu anaejielewa awezi kutoa matusi namna hii bila ya chembe ya aibu, Malezi yako yanaakisi unachokiandika apa, ndani ya ubongo wako kuna shida mahala sio bure au inawezekana kuna vitu unatumia vimeifubaza akili yako isifanye kazi sawasawa, jukwaa hili sio jukwaa la matusi yasiyokuwa na staha, hoja inapingwa kwa hoja na sio matusi, jukwaa hili sio kokoro la kukusanya wahuni kuja kushindanisha matusi apa, wengine tuna heshima zetu atuwezi kujibishana na watu aina yako ni kujiaibisha tu na ninapokujibu naonekana na mimi ni mpuuzi tu Kama ulivyo
 
Hivi kama ni fitna za hivo unadhani Simba wanashindwa?tukiwapita points msilalamike mwendo ni huo huo maana kila mtu anaweza fitna
Hizo fitna ndo zimekupa ubingwa misimu 3
 
Manolo wanateseka sana nacdraw yetu sijui tungeshinda ingekuwaje..
Bac kama vp mununue VAR maana kolos zinashoboka sana
 
Mkuu unaongea kihisia zaidi.

Tupe ushahidi wa injinia kumpigia simu huyo mwamuzi. Ulimuona? Au Ulisikia kwa nani?
 
We utopolo ulishawahi kuona goli Kona
 
Simba ndo michezo yao hiyo. Wakae kwa kutulia. Hata suala la mechi ile ya derby msimu uliopita kuhairishwa ilkua ni janja janja yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…