Nimeona mapovu mengi sana yakiwatoka mashabiki na wadau wengine juu ya penalty aliyopewa yanga dhidi ya namungo, Ni ajabu sana kuitolea macho penalty ya jana wakati matukio Kama ayo yanatokea Sana na watu wanakaa kimya kwakuwa tiyali anaefaidika anakuwa keshavuna point zake, Matukio kama aya simba ndo vinara wa kufaidika nayo karibia misimu 3 iliyopita na mpaka sasa ingawa nguvu yao ya kiuchumi kutengeneza mazingira ya nje ya uwanja imekumbana na upinzani mkali kutoka kwa yanga na gsm msimu huu, ivyo basi kinachotokea ni vita kali na mmoja anapozidiwa ujanja ndo unaona mapovu kama yote, Msimu uliopita yanga alikuwa muhanga wa maamuzi mabovu ya marefa na tff walikaa kimya ivyo ivyo misimu 2 nyuma, sasa kwakuwa haramu ilionekani halali mwendo utakuwa ni hivi hivi kwa timu kubwa kubebwa na marefa, yanga akibebwa kaeni kimya kama mlivyozoea na simba akibebwa pia pigeni kimya, ndo tulikofikia kwa sasa, sio giant mmoja akiona ameshikwa masikio aanze kuibua malalamiko yasiyokuwa na kichwa wala miguu, mara fair competition mara hivi Mara vile ni ujinga kwakuwa mambo yamewageukia,
ULIANGALIA MECHI YA SIMBA VS KMC MWAKA JUZI? KWANINI USEME TANGIA 1992?? ACHA USHABIKI MAANDAZI BOYA WEWE. MLETA MADA KAWEKA WAZI KUWA HAYA MAMBO YANATOKEA KILA MSIMU ILA HAMPIGI KELELE. SIMBA VS YANGA KAGERE ANAANGUSHWA NJE MZIGO UNAWEKWA PENATI NAYO HUKUONA??
WEWE NI KILAZA MZEE....
Taarifa yako sio sahihiMnajifanya vipofu au hamfuatilii ila msimu uliopita mmefaidika na maamuzi ya ovyo zaidi kuliko simba.Dhidi ya Kmc kule songea mnapewa penati ya hovyo, dhidi ya simba mnapewa penati foul nje ya 18, dhidi ya gwambina goli halali la gwambina linakataliwa. Kama sio maamuzi ya hovyo yaliyowafaidisha msimu uliopita mlitakiwa mmalize chini ya Azam.
Msimu ulopita walicheza ccm kirumba mwanza na sio songeaTaarifa yangu ni sahihi ila wewe ndio hauko makini, nimeongelea msimu uliopita je msimu uliopita hakukuwa na penati kmc vs yanga kule songea? Yanga ilishinda 2-1 na goli moja ni la penati ya hovyo.
Refa alipagawa yule hahahah nilicheka sanaHivi watu mnawezaje tazama mechi watu wanacheza kama wako majarubani au mbugani.
Timu haziwezi ata kupigiana pasi 10 kwa wakati. Kilichonishangaza jana penalty inapigwa watu wamejaa kwa box kumsindikiza mpigaji
Daah kweli umepagawa we kabwili fc aka wafirwaji ,haya mwenzio kakil wazwaz kuwa Jana kagongwa huyo Ni fei Toto ndipo refa kaweka .Kabla ata sijakujibu umeshaonyesha ni punguani wahed,,kitu cha kwanza ushaonyesha ni shabiki lia lia wa makolo fc ambao ndo mnapayuka ovyo ovyo apa bila hoja za msingi, mmefanya michezo mingi ya ovyo ovyo kupitia marefa na kwakuwa wewe ni kolo mojawapo ukuweza kunyanyua bakuli lako kukemea isipokuwa umeona ya yanga, Mtaendelea kuumia sana na bado iyo ni trela tu lile fungu alilokuwa amelitenga bosi wenu mzee wa kususa kwa waamuzi na timu pinzani kwa sasa limepungua Kama sio kukata kabisa ndo maana mnapata ukichaa wa ukubwani, sasa hivi mnabaki kurukia matukio ambayo nyie ndo mabingwa wa michezo michafu nani asiejua? Huo ubingwa unaousema umeubeba kwa njia zipi mpuuzi wewe, viporo 7 ulishaona wapi duniani? Magori mangapi yanga wamefunga msimu uliopita na waamuzi hao hao wakayakataaa, ulikuwa kiwete mda huo? Unajitapa mmefika robo fainali kwani atujui michezo yenu mliyokuwa mnafanya pale uwanjani? Sasa mliposhtukiwa Mara hii mmeishia wapi? Wewe ujui kitu kaa kimya jielekeze kubishana na mataahira wenzako uko, viungo vya binadamu tungeanza kuokoto kwenye mechi za simba lakini tulikuwa tunajua yana mwisho na sasa dawa inaanza kuwaingia taratibu tutaelewana, kila timu ishinde mechi zake tuone mwisho wa ligi, akuna kucheka na kima safari hii michezo yenu mliyokuwa mnaifanya iyoiyo ndo itawageukia na kuwa kitanzi cha kuwamalizia, fitna bin fitna mlianza sisi tunamaliza
Mambo ya jf bwana unaweza kuta unabishana na shoga moja linaloishi mjini kwa kupakuliwa kisamvu na wakurungwa, any way hongera mwenye akili nyingi nyingi maana hizi I'd fake kila mtu Ni genious Ila tungekuwa wazwaz haki vingekuwa vituko humu kwanza sidhan Kama ungejitokeza kuandika huu ushubwadaULIANGALIA MECHI YA SIMBA VS KMC MWAKA JUZI? KWANINI USEME TANGIA 1992?? ACHA USHABIKI MAANDAZI BOYA WEWE. MLETA MADA KAWEKA WAZI KUWA HAYA MAMBO YANATOKEA KILA MSIMU ILA HAMPIGI KELELE. SIMBA VS YANGA KAGERE ANAANGUSHWA NJE MZIGO UNAWEKWA PENATI NAYO HUKUONA??
WEWE NI KILAZA MZEE....
Kwenye uwanja uko sahihi ila kmc vs yanga msimu uliopita kuwa hakukuwa na penati hauko sahihi. Nenda youtube utaona.Taarifa yako sio sahihi
Kwenye mechi ya kmc vs yanga kule songea kulikua hakuna penalty
Msimu ulopita walicheza ccm kirumba mwanza na sio songea
We ni taahira ayo matusi yanatoka wapi? Matusi unayotoa apa yanakufichua ni mtu wa ovyo kiasi gani, mtu anaejielewa awezi kutoa matusi namna hii bila ya chembe ya aibu, Malezi yako yanaakisi unachokiandika apa, ndani ya ubongo wako kuna shida mahala sio bure au inawezekana kuna vitu unatumia vimeifubaza akili yako isifanye kazi sawasawa, jukwaa hili sio jukwaa la matusi yasiyokuwa na staha, hoja inapingwa kwa hoja na sio matusi, jukwaa hili sio kokoro la kukusanya wahuni kuja kushindanisha matusi apa, wengine tuna heshima zetu atuwezi kujibishana na watu aina yako ni kujiaibisha tu na ninapokujibu naonekana na mimi ni mpuuzi tu Kama ulivyoDaah kweli umepagawa we kabwili fc aka wafirwaji ,haya mwenzio kakil wazwaz kuwa Jana kagongwa huyo Ni fei Toto ndipo refa kaweka .
Inabid nikujib sheet tu maana sijaona mtu mwenye hoja hapa Zaid ya viroja ,ndio nyie mnazaliwa mmeambatana na mavi badala ya damu na maji. Yaan Simba achukue ubingwa Mara nne kwa kubebwa tu inamaana uwanjan alikuwa unacheza mkundu wako?
Ulivyo maskin la akil ona Iman yako inakutuma kuwa Simba alifika robo sabab ya uchawi ,kwahiyo na nyie mmeshindwa kuchukua ubingwa Mara nne kisa mmezidiwa uchaw na Simba?Nikisema wewe Ni la Saba E ntakuwa sahihi kabisa maana upeo wako Ni mdogo Sana kwenye analysis ya football.
Ndio maana manara anawageuza anavyotaka km chapat ,kawaponda miaka nenda Rudi leo hii ndie mtu anayewapa furaha na mimeno yote nje ,na uzur alishasema kuwa yanga Kuna watu wawil tu wenye akil kikwete na baba ake tu wengine wote Ni zero brain .
Uzur msimu ndio kwanza unaanza et kila mtu ashinde mechi zake kwa uwezo upi ulio nao wa kushinda mechi zote? Anapigwa man city ,Liverpool ,Chelsea ndio awe yanga wa kushinda mechi zote 32? Mtapasuka Sana tu na tunasubiria kelele zenu za malalamiko mkishaanza kuachwa point na mnyama mkali.
Uzur manara alishawambia ukweli kuwa Simba itachukua ubingwa back to back Mara 10 sijui unakumbuka Hilo au ulikuwa kwenu polin huko ambako hata redio mbao hakuna ?
Hizo fitna ndo zimekupa ubingwa misimu 3Hivi kama ni fitna za hivo unadhani Simba wanashindwa?tukiwapita points msilalamike mwendo ni huo huo maana kila mtu anaweza fitna
Kumbe na wewe huwa unatizama ligi ya bongo mkuu
Refa alipagawa yule hahahah nilicheka sana
Mkuu unaongea kihisia zaidi.Upo sahihi timu zinabebwa hata ulaya kubebwa kupo Lakin kwa akil ya juu Sana kias kwamba hata watu hawez kuhoji Sana .
Ubebwaji Kama ule wa Jana sijawahi ushuhudia tokea nianze kufuatilia mpira wa bongo mwaka 1992 had Leo hii sijawah ona upumbavu wa namna hii.
Wewe jamaa Ni shabik uliepitiliza had unaonekana kichwan kwako yamejaa mavi tu ,Simba haijawah kubebwa Kama ilivyobebwa yanga kwa Jana hii Ni aibu ya Karne .
Simba ndio imeonewa Sana hata mechi ya juz na ruvu Simba ilionewa Sana Lakin kwavile kichaa chako kimejaa mavi na kamasi lazima upinge .
Unadai yanga ilikaa kimya ,yanga ipi iliyokaa kimya ? Yanga hao hao si ndio vinara wa kutishia marefa kwa misimu yote ? Yanga Hawa Hawa walipoona wamezidiwa wakahamishia lawama kwa kalia na body ya ligi ,yanga ipi ya kukaa kimya?
Yanga hii hii ambayo iliumia Sana baada ya Azam kupigwa goli moja na Simba pale maji maji et benard kaanzisha mpira bila refa kuruhusu ,kisa hamkutaka mkutane na mnyama ambae aliwamanua kimoja Cha nguruwe pale kigoma .
Nasemaje mashabik Kama nyie inafaa mtafutwe nchi nzima mjazwe kwenye matipa alafu mkatupwe ziwa Tanganyika hatuwez kuendelea kuishi na wajinga wajinga kama wewe.
Kipind cha kwanza kila mtu aliona injia alivyokuwa amepagawa na kutaman mpira uendemapumziko ili apate nafac ya kumpigia cm refa na kweli ikawa Ivo .
Tafuteni ubingwa wa halal ndio maana kimataifa mnatia aibu kwa kupigwa nje ndani maana kule hakuna pira tigopesa.
Mmepigwa na River nje ndani sabab ya ujinga wa kujiona mabingwa wa kihistoria wakat ukwel hakuna kitu pale.
Ubingwa wenu nyie Ni kumfunga Simba tu tofaut na hapo hamna kipaumbele ,kutwa kushindana na Simba ambaye kakuacha mbali Sana kwa ubora wa mpira ndio maana hata kimataifa Simba Ana point 20 wakat wewe una point moja ,mwenzio 15 kwa ubora baran Africa wewe 74 bado tu unakaza fuvu et Simba inabebwa.
Kwann yanga haikubebwa angalau huu msimu ingefika hata makundi tu kimataifa ili tujue Simba alivyofika robo alibebwa.
Roho ya kimasikin kumchukia tajir aliyekuzid kwa kila kitu pia anayekubeba.
Narudia Tena hii utopolo ukiendelea hiv hiv Kuna siku watu wataokota viungo vya binadamu huko uwanjan ,huu Ni upuuz na ulipaswa upinge huu uhuni na sio kuleta mlinganisho na Simba ,muda utaongea Kuna cku hii ligi itakuja kuharibika na kufungwa na FIFA kwa miaka kadhaa kwa kusababisha maafa yasio ya lazima na kupelekea kuwanyima watu burudan .
Najua utanijib tu we choko haya karibu Sana [emoji867][emoji867]
We utopolo ulishawahi kuona goli KonaNi ukweli usio pingika wkt yanga wanalalamika waamuzi Simba na wachambuzi wao wakukaa kimya na kuwabeza eti hawanakikosi....Leo mkuki kwa nguruwe na hasa nilitamka wazi mpira wa tz tff ndio anapanga Nani awe bingwa bila hivi yanga mwaka Jana wangetwaa ubingwa Ila walinyanyaswa Sana kwa Hy muwe wapole safari ndio kwanza mbichi