Mambo ya jf bwana unaweza kuta unabishana na shoga moja linaloishi mjini kwa kupakuliwa kisamvu na wakurungwa, any way hongera mwenye akili nyingi nyingi maana hizi I'd fake kila mtu Ni genious Ila tungekuwa wazwaz haki vingekuwa vituko humu kwanza sidhan Kama ungejitokeza kuandika huu ushubwada