Okay thanks sana kaka, ngoja nijikusanye siku nikajaribu na huko.Kuna kipindi nakiri kuwa madokta wetu wanafanya kazi kwa kubunia kwa asilimia 80, hii inawezekana ni kwa kukosa vipimo vya kueleweka, mimi sidhani kuwa nchi hii haina wataalamu walio bobea katika maswala ya mfumo wa masikio pia kuna hospital zenye mitambo ya kisasa ya upimaji, kuna hosptal arusha NSK ipo ungalimited, ina vipimo vya kitabibu vya hali ya juu sana japokuwa nasikia gharama zake ni za juu.
View attachment 426981
Hakika mkuu sometimes huwa natilia shaka na hawa Madokta. Either wavivu kutumia utalaamu wao au vilaza kuna magonjwa km typhod at the end the day nilikuja kupona kwa kunywa mixer yaUnachosema ni kweli mkuu hapa bongo wanazingua sana,hearing aid itamuhusu dogo!!
Mkuu, mzizi mkavu! uko wapi mbona namba ya simu tu imenitisha?Mkuu.@Safari Safi ukishindwa huko Hospitali kumtibia mwanao anaye sikia kwa mbali nitafute mimi nimpe dawa zangu atumie kwa siku 30 atasikia vizuri sana. Ukihitaji dawa zangu ili nimtibie mwanao apone,
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Kawaida Mkuu niko machimbo usiogope ni namba ya kawaida tu ukihitaji tiba toka kwangu nitafute nipate kukutibia.Mkuu, mzizi mkavu! uko wapi mbona namba ya simu tu imenitisha?
Hiyo namba Mkuu mbona kizungu.Kawaida Mkuu.@Safari Safi Niko machimbo usiogope ni namba ya kawaida tu ukihitaji Tiba toka kwangu nitafute nipate kukutibia.
Chukuwa kijiko 1 kidogo cha unga wa mdalasini korogea ndani ya kikombe 1 cha maji ya moto kisha awe anakunywa kila siku asubuhi kabla ya kula kitu na mchana na usiku atumie hiyo dawa kwa muda wamiezi 3 atasikia vizuri.NDUGU WANA JAMII FORUM HUSIKA NA MADA HAPO JUU MKE WANGU ANA TATIZO LA MASIKIO KUTOSIKIA VIZURI MWANZO ALIKUWA ANASKIA VIZURI LAKINI NDANI YA MIEZI MINNE BAADA YA KUJIFUNGUA LIMETOJITOKEZA TATIZO HILI HASIKII VIZURI HADI UONGEE KWA KUTUMIA NGUVU. TAFADHALI NAOMBENI MSAADA WENU KAMA UTAKUWA UMEGUSWA NA HILI.
sijajua chanzo cha hili tatizo na wala hatoi uchafu wowoteUnajua sababu ya tatizo hilo,? Linatoa uchafu wa aina yo yote? Nta imejaa au huwa anatoa? Kutoa nta yote sikioni pia kuna madhara. Ile nta ina kazi yake. Nibgekushauri utoe maelezo timilifu au uone wataalamu hospital
Ahsante kiongozi ngoja nifanye hivi.Chukuwa kijiko 1 kidogo cha unga wa mdalasini korogea ndani ya kikombe 1 cha maji ya moto kisha awe anakunywa kila siku asubuhi kabla ya kula kitu na mchana na usiku atumie hiyo dawa kwa muda wamiezi 3 atasikia vizuri.
View attachment 434340
Pole sana tunaweza wasiliana kwa Msaada wa matibabu. Nifuate PMNdugu wana jamii forum husika na mada hapo juu mke wangu ana tatizo la masikio kutosikia vizuri mwanzo alikuwa anasikia vizuri lakini ndani ya miezi minne baada ya kujifungua limetojitokeza tatizo hili hasikii vizuri hadi uongee kwa kutumia nguvu. tafadhali naombeni msaada wenu kama utakuwa umeguswa na hili.
Mkuu Toa maelezo hapa jukwaani nasi tufaidike..Pole sana tunaweza wasiliana kwa Msaada wa matibabu. Nifuate PM