Tatizo la maumivu makali wakati wa kufanya tendo la ndoa

Tatizo la maumivu makali wakati wa kufanya tendo la ndoa

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Wakuu habari ya wakti huu.

Nina mwanamke wangu ambae anapata maumivu makali sana wakati wa kufanya ngono, hata penetration ni issue. Ukufanikiwa ku-penetrate bado analalamika maumivu makali.

Kwa ujumla uume ukigusa tu ukeni anaanza kulalamika maumivu makali.

Amewahi kwenda kwa specialist kule Kairuki wakamchunguza hawakuona tatizo lolote, akaambiwa hana tatizo lolote labda uoga ama ukosefu wa maandalizi ya kutosha. Tumejitahidi kufanya maandalizi ya kutosha lakini wapi tatizo liko pale pale.

Naomba msaada wenu, nimpeleke wapi huyu mrembo apate tiba, natamani nimsaidie apone ama hili tatizo lipungue kama sio kuisha. Maumivu hua yanasababisha tunaahirisha mechi katikati.

Ikitokea tukafanya round moja ya kwanza ambayo haichukui muda sana, round ya pili ni mtihani, ni almost kama hua hatufanyi na hiyo moja ni after days.

Natanguliza shukran.
 
Wakuu habari ya wakti huu.

Nina mwanamke wangu ambae anapata maumivu makali sana wakati wa kufanya ngono, hata penetration ni issue. Ukufanikiwa ku-penetrate bado analalamika maumivu makali.

Kwa ujumla uume ukigusa tu ukeni anaanza kulalamika maumivu makali.

Amewahi kwenda kwa specialist kule Kairuki wakamchunguza hawakuona tatizo lolote, akaambiwa hana tatizo lolote labda uoga ama ukosefu wa maandalizi ya kutosha. Tumejitahidi kufanya maandalizi ya kutosha lakini wapi tatizo liko pale pale.

Naomba msaada wenu, nimpeleke wapi huyu mrembo apate tiba, natamani nimsaidie apone ama hili tatizo lipungue kama sio kuisha. Maumivu hua yanasababisha tunaahirisha mechi katikati.

Ikitokea tukafanya round moja ya kwanza ambayo haichukui muda sana, round ya pili ni mtihani, ni almost kama hua hatufanyi na hiyo moja ni after days.

Natanguliza shukran.
Mnapoandaana anaaandalika?Uke una tofauti yoyote kabla na baada ya maandalizi?
 
Mmmmhhh sana kama unamuandaa vya kutosha na analoa inakuwaje apate maumivu? wakati Dr amesema kwamba hakuna tatizo? Au mzee una Mguu wa Mtoto halafu Demu size ndogo?
 
Dah Allahuakbar leo maombi yangu mimi kibamia Yamesikika qummke...
Nifanyie wepesi mkuu Mungu alimuumba huyo kwaajili yangu
 
Hii inaweza kuwa Vulvodynia.
Ni Hali ambayo inamfanya mwanamke kuwa na maumivu makali Sana wakati wa penetration hasa sehemu ya nje wa uke hutokea kwa zaidi ya miezi mitatu au hata miaka kabisa.

Hii Hali hutokea na hata akifanya vipimo ni ngumu kujua Chanzo chake.
Inawezeka ni irritation ya Neva zinazosupply eneo Hilo la uke.

Hivyo maumivu makali, uke kuwa Kama unawaka Moto, maumivu makali wakati wa tendo la ndoa na pia kuwasha ni moja ya dalili zake. Haya ni maumivu makali Sana so havungi ni anaumia kiukweli.

Namna ya kumsaidia ni kumwambia moja; awe anafanya cold compression/ acompress kwa vitu vya baridi,

Pili; atumie dawa inaitwa Lidocaine ointment hii ni 30 minutes before sexual intercourse na anaeza kuendelea kupata ganzi muda mchache baada ya tendo,

Tatu; anaweza kufanya Sitz's Bath hii ni anaweka maji ya uvuguvugu kwenye beseni/jacuzzi anakaa hii anaweza kuweka Dettol Kama anabawasiri pia..itasaidia kupunguza maumivu.

Lakini pia anaweza kupata dawa hospital ambazo n tricyclic antidepressants, steroids na antihistamines.

Madhara ya hii kitu yapo more pyschologically mtu anaweza kupata stress, depression, anxiety etc sababu ya kukosa furaha ya tendo.

Pia wewe mwenza wake uwe kwa ajili ya kumsaidia na kumuelewa pia msaidie, usimfrustrate...nikutakie happy new year 2021

Kila la kheri
 
Mkuu mmeoana ama ndio mnanyanduana tu😂😂😂
Kwanza anaweza kuwa anakaa muda mrefu bila kufanya hyo kitu halafu ni wale ambao hawana muda mrefu toka boma lao liingiliwe

Uoga....kama nilivyosema hapo mwanzo wengi wanakua in experienced hivyo mental anajua nikifanya hivi nitaumia kama ilivyokua mwanzo

Ongea nae kama anafanya kegel exercise , anaweza asikubali moja kwa moja wakati mwingine tunaona aibu kukiri lakini wewe mwambie kama unafanya punguza au aache kwa muda halafu atarejea

Pia wewe ndio unaweza kuwa tiba yake, kila unavyo DO nae unamtia moyo kwamba hili ni tendo la raha, mimi ndio mpnz wako inabidi na wewe ufurahi so usifikirie maumivu na dizain kama hizo za kumtia moyo

Kila la kheri Mkuu
 
Wakuu habari ya wakti huu.

Nina mwanamke wangu ambae anapata maumivu makali sana wakati wa kufanya ngono, hata penetration ni issue. Ukufanikiwa ku-penetrate bado analalamika maumivu makali.

Kwa ujumla uume ukigusa tu ukeni anaanza kulalamika maumivu makali.

Amewahi kwenda kwa specialist kule Kairuki wakamchunguza hawakuona tatizo lolote, akaambiwa hana tatizo lolote labda uoga ama ukosefu wa maandalizi ya kutosha. Tumejitahidi kufanya maandalizi ya kutosha lakini wapi tatizo liko pale pale.

Naomba msaada wenu, nimpeleke wapi huyu mrembo apate tiba, natamani nimsaidie apone ama hili tatizo lipungue kama sio kuisha. Maumivu hua yanasababisha tunaahirisha mechi katikati.

Ikitokea tukafanya round moja ya kwanza ambayo haichukui muda sana, round ya pili ni mtihani, ni almost kama hua hatufanyi na hiyo moja ni after days.

Natanguliza shukran.
Tafuteni kilainishi Ky jelly ila msije ingia tamaa
 
Back
Top Bottom