meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Tulipokuwa tunapinga lowassa asipokelewe CHADEMA kimagumashi kama ilivyofanyika tuliona mbali sana.
Tulichokuwa tunakipinga ni kurasimisha usanii ,ulaghai na ulaji rushwa.
Labda kwa wale waliokuwa hawajabalehe katika siasa hasa kuanzia 2010 ni vyema wakatambua kuwa hapo kabla CHADEMA chini ya Dr Slaa kama katibu walianzisha harakati za kimkakati za kusaka wanachama kutoka kwenye jamii ya wasio wanachama wa vyama vingine vya siasa.
mkakati huu ulikuwa mzuri na ulijengwa na hoja kuu ya kwamba CCM ni mafisadi na wala rushwa.
mkakati huu uliifanya CHADEMA kupendwa na kuungwa mkono na wengi mimi nikiwemo.
Mwaka 2015 baada ya gia ya angani kuwekwa tulishuhudia mafisadi ya CCM yakihamia CHADEMA na kupewa nafasi za kugombea uongozi katika level mbalimbali kuanzia Urais hadi uenyekiti wa kitongoji.
Hakukuwa na scrutiny yoyote zaidi ya kuhongana na uongozi wa CHADEMA kushindwa kusimamia principles za chama.
Matokeo yake wezi,wahalifu,mafisadi na wala rushwa wote waliofurushwa CCM wakavaa joho jeupe lenye kola nyekundu na kugeuzwa kuwa wagombea huku wafia chama mithili ya Dr Slaa wakidhihakiwa na kuitwa wasaliti waliopewa rushwa na CCM.
Leo hii wezi,wala rushwa na wahalifu waliokuwa CCM wanapoamua kurudi walipotoka Ndio kina Nassari na lema wanakuja kutulilia tena ...This is pathetic!!
Mlifungia majini kwenye chupa sasa yanatoka mnaturudia sisi wananchi??
Poleni sana na mmechelewa ni bora tubaki na chama chenye mafisadi na waadilifu ambacho kikiamua kinaweza kuwashughulikia mafisadi.
Leo hii Mnyeti na Gambo wakihamia CHADEMA tutaambiwa wamekiri na waneingoka...wakiondoka tena mtasema wamehongwa ...huo mchezo wenu wa kitoto umefika mwisho ...pambaneni na hali yenu.
Haitasaidia kutulalamikia na kutuobesha bongo movies za 2008...mnachotakiwa kukifanya ni kusafisha panya wote mliowakaribisha chumbani mkianza na panya buku !
Mada hii ni kwa ajili ya CHADEMA asili
Tulichokuwa tunakipinga ni kurasimisha usanii ,ulaghai na ulaji rushwa.
Labda kwa wale waliokuwa hawajabalehe katika siasa hasa kuanzia 2010 ni vyema wakatambua kuwa hapo kabla CHADEMA chini ya Dr Slaa kama katibu walianzisha harakati za kimkakati za kusaka wanachama kutoka kwenye jamii ya wasio wanachama wa vyama vingine vya siasa.
mkakati huu ulikuwa mzuri na ulijengwa na hoja kuu ya kwamba CCM ni mafisadi na wala rushwa.
mkakati huu uliifanya CHADEMA kupendwa na kuungwa mkono na wengi mimi nikiwemo.
Mwaka 2015 baada ya gia ya angani kuwekwa tulishuhudia mafisadi ya CCM yakihamia CHADEMA na kupewa nafasi za kugombea uongozi katika level mbalimbali kuanzia Urais hadi uenyekiti wa kitongoji.
Hakukuwa na scrutiny yoyote zaidi ya kuhongana na uongozi wa CHADEMA kushindwa kusimamia principles za chama.
Matokeo yake wezi,wahalifu,mafisadi na wala rushwa wote waliofurushwa CCM wakavaa joho jeupe lenye kola nyekundu na kugeuzwa kuwa wagombea huku wafia chama mithili ya Dr Slaa wakidhihakiwa na kuitwa wasaliti waliopewa rushwa na CCM.
Leo hii wezi,wala rushwa na wahalifu waliokuwa CCM wanapoamua kurudi walipotoka Ndio kina Nassari na lema wanakuja kutulilia tena ...This is pathetic!!
Mlifungia majini kwenye chupa sasa yanatoka mnaturudia sisi wananchi??
Poleni sana na mmechelewa ni bora tubaki na chama chenye mafisadi na waadilifu ambacho kikiamua kinaweza kuwashughulikia mafisadi.
Leo hii Mnyeti na Gambo wakihamia CHADEMA tutaambiwa wamekiri na waneingoka...wakiondoka tena mtasema wamehongwa ...huo mchezo wenu wa kitoto umefika mwisho ...pambaneni na hali yenu.
Haitasaidia kutulalamikia na kutuobesha bongo movies za 2008...mnachotakiwa kukifanya ni kusafisha panya wote mliowakaribisha chumbani mkianza na panya buku !
Mada hii ni kwa ajili ya CHADEMA asili