Tatizo la msingi la CHADEMA ni kudahili wanachama wala rushwa

wenye akili wameshawaelewa kwanini kina safari, mnyika, baregu waliamua kunyamaza
huku Slaa akikataa kupigia debe mafisadi

Zito, Kitila walitolewa kafara kisa umwenyekiti wa Mbowe

Sasa tumaini la Chadema limebaki kwa Tundu Lissu ambaye sioni akidumu pale labda aamue kuwa mpiga zumari wa Mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…