KANYAGWANDA
Member
- Apr 16, 2023
- 21
- 56
Wakuu habari zenu.
Naomba ushauri.Mtoto wangu wa KIUME wa miezi minne anachangamoto ya kunyonya kwa shida sana.Mchana akiwa na njaa atalia sana akipewa ziwa ndo analia zaidi.Akiwekwa mgongoni baada ya muda akashushwa ananyoa kidogo then anapotezea.
Usiku akiamka toka usingizini ananyonya vizuri tu issue ni hiyo mchana yaan ni vita na mama yake.
Naomba ushauri wenu wataalamu.
Naomba ushauri.Mtoto wangu wa KIUME wa miezi minne anachangamoto ya kunyonya kwa shida sana.Mchana akiwa na njaa atalia sana akipewa ziwa ndo analia zaidi.Akiwekwa mgongoni baada ya muda akashushwa ananyoa kidogo then anapotezea.
Usiku akiamka toka usingizini ananyonya vizuri tu issue ni hiyo mchana yaan ni vita na mama yake.
Naomba ushauri wenu wataalamu.