Tatizo la mtoto kuwa muoga kupitiliza

Tatizo la mtoto kuwa muoga kupitiliza

Mtoto tabia zingine anaiga kutoka kwa wazazi wake na inatokana na jinsia yenyew ya mtoto jicukunguzeni nyie wazazi wenyew then mtajua kaiga kutoka kwa yupi!

Sent using Jamii Forums mobile app
hilo limeshachunguzwa na hakuna mzazi mwenye uoga unaoendana na uoga wa mtoto, hii ni kumaanisha uoga wa motto umepitiliza
 
Mimi mwenyewe akiingia chumbani hata kama ni silaha za maangamizi ni lazima nitumie
Tena natumia nguvu za ziada utafikiri nchi imevamiwa

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ahhhhh mkuu ilikuaje unaogapa mijusi, wadada ndiyo wanaogopa wewe ilikuaje na ilianzaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uoga ukizidi ni tatizo jaribu kwenda kwa wataalam wa magonjwa ya akili watamchunguza kama ni hali ya kawaida watakwambia kama kuna tatizo pia atatibiwa mapema.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mtoto jinsia gani?
Kama ni wa kike huwa ni waoga ila kama ni wa kiume huwa hawaogopi. Ipo hivyo.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Siyo wote bwana
Wa kwangu wa kike hata hashtuki
Ila kuna mazingira niliyajenga ya kuona almost kila kitu kipo sawa...
Aone mjusi aone mende kwake sawa tu wala hapagawi...

Huyu jamaa itakuwa ni wale mtoto anapoanza kushika kitu utasikia wewe acha,
Akigusa kile achaa,
Akianguka kidogo mbembelezeni mtoto...
Mtoto anajaa woga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ahhhhh mkuu ilikuaje unaogapa mijusi, wadada ndiyo wanaogopa wewe ilikuaje na ilianzaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Phobias haina ubabe kabisa
Ni uoga ambao kila kiumbe anakuwa nao na sio kwa kina mama tu

Unaweza kuogopa hata mwanamke eti
(Wapo)
Wengine wanaogopa kujiangalia kwenye kioo,
Hata diddy anogopa Clowns
Mimi huyu kiumbe simpendi kabisa ingawa nimefuga nyoka zamani
Kuna watu wanaogopa kupanda ndege hata Michael Jackson alikuwa mmoja wao.

China walitengeneza daraja la vioo vitupu yaani unapita juu ya glass na unaona miti chini
Kuna watu walikuwa wanatambaa hebu niambie ungepita kama ni wewe?
Kuna mall moja nililiona majuu nikapita juu yake, hapo kila mmoja anawoga wake

Ukinishaangaa mimi utakutana na watu wanaogopa kimvuli chake

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Phobias haina ubabe kabisa
Ni uoga ambao kila kiumbe anakuwa nao na sio kwa kina mama tu

Unaweza kuogopa hata mwanamke eti
(Wapo)
Wengine wanaogopa kujiangalia kwenye kioo,
Hata diddy anogopa Clowns
Mimi huyu kiumbe simpendi kabisa ingawa nimefuga nyoka zamani
Kuna watu wanaogopa kupanda ndege hata Michael Jackson alikuwa mmoja wao.

China walitengeneza daraja la vioo vitupu yaani unapita juu ya glass na unaona miti chini
Kuna watu walikuwa wanatambaa hebu niambie ungepita kama ni wewe?
Kuna mall moja nililiona majuu nikapita juu yake, hapo kila mmoja anawoga wake

Ukinishaangaa mimi utakutana na watu wanaogopa kimvuli chake

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Unatakiwa uwazoee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom