Tatizo la mtoto kuwa muoga kupitiliza

Tatizo la mtoto kuwa muoga kupitiliza

Unatakiwa uwazoee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa na kenge siwapendi kabisa
Kwanza kenge huyu
Jamaa alinialika chakula lakini ingawa nilisema nimtolee uvivu lakini alinishinda
Maana alipoanza kupakua ule mchuzi nilipoona vidole na ile nyama inachezacheza nikajua kweli kenge ni aliens (hahaha)
Kiumbe gani unampika masaa bado anatetemeka tu
Halafu nyama nyeusi utafikiri zile sura za kina garang

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Hawa na kenge siwapendi kabisa
Kwanza kenge huyu
Jamaa alinialika chakula lakini ingawa nilisema nimtolee uvivu lakini alinishinda
Maana alipoanza kupakua ule mchuzi nilipoona vidole na ile nyama inachezacheza nikajua kweli kenge ni aliens (hahaha)
Kiumbe gani unampika masaa bado anatetemeka tu
Halafu nyama nyeusi utafikiri zile sura za kina garang

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Weweeee my brother aisehh umenistua huwezi amini, what happened ulimuona wakati wa kupakua aiseehhh umenistua sana mkuu, halafu wanasumu kali yani ungeonja supu tu kwisha habari yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwe unamsogeza kidogo kidogo baadaye atazoea kumbuka mazoea hujenga tabia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa, hata mm nilikuwa muoga sana hasa usiku ukinituma nenda chumban kafanye hk nalia nasema naogopa lakini nilikuwa natumwa kibabe nenda ntakupiga naenda kwa uoga hadi hali ile ikaisha, kwa hiyo ww usiilee hali yake ya uoga fanya namna ya kumtoa uoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa, hata mm nilikuwa muoga sana hasa usiku ukinituma nenda chumban kafanye hk nalia nasema naogopa lakini nilikuwa natumwa kibabe nenda ntakupiga naenda kwa uoga hadi hali ile ikaisha, kwa hiyo ww usiilee hali yake ya uoga fanya namna ya kumtoa uoga

Sent using Jamii Forums mobile app
Are u KE au Me, at last u did congratulation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weweeee my brother aisehh umenistua huwezi amini, what happened ulimuona wakati wa kupakua aiseehhh umenistua sana mkuu, halafu wanasumu kali yani ungeonja supu tu kwisha habari yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaahha hapana Kenge hawana sumu na wanaliwa sana huko mashariki ya kati na hawakuanza leo, yaani tangu enzi za njaa (kabla ya mafuta) na sasa ni kama delicacy food na ukikuta anavyofukuzwa jangwani na GMC utashangaa


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom