Wala hawajaomba samahani kwa wateja wao.Nauliza kwa kifupi tu, kuna tatizo gani leo, maana network inapatika kwa dakika chache tu kisa inakata masaa.., whats going on?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hawajaomba samahani kwa wateja wao.Nauliza kwa kifupi tu, kuna tatizo gani leo, maana network inapatika kwa dakika chache tu kisa inakata masaa.., whats going on?!
Changamoto imeanzia kwenye kubana matumizi..most of technical changes zinatakiwa kufanywa ucku ilakwakua overtime wanaziondoa najina lakubana matumizi then engineers wanafanya changes wkt wamchana kwakua wanajua ucku hawapati chochotetigo ndio wapuuzi kabisa yan kuna muda mpaka najisemea hawa jf wana shida gan
Same problem to me yaani no 4G ni mwendo wa 3G kituko ukienda ofisi zao kuna kadada kananiambia kuna muda simu zinasahau network kama ulisafiri nje ya eneo ulilopo.mara kanishauri badilisha simu nikakauliza ninunue techno kinajichekesha tuohoo!! me tangu wiki ilioisha yan mtandao haueleweki kabisa
Nimezima na kuwasha mara moja tu mida ya saa tisa simu zikaanza kutoka ila sms ndio nimeweza kutuma muda huuNimezima na kuwasha siku kama mara 10 hivi, ila ikawa inasema ‘No service’
inatucost halaf kwangu ilikua n jf inanizingua insta linkedin wasap emails natuma bila shidaChangamoto imeanzia kwenye kubana matumizi..most of technical changes zinatakiwa kufanywa ucku ilakwakua overtime wanaziondoa najina lakubana matumizi then engineers wanafanya changes wkt wamchana kwakua wanajua ucku hawapati chochote
hajui kazi yake yan sjasafiri hata kwenda mkoani nilipo mtandao unasumbuaSame problem to me yaani no 4G ni mwendo wa 3G kituko ukienda ofisi zao kuna kadada kananiambia kuna muda simu zinasahau network kama ulisafiri nje ya eneo ulilopo.mara kanishauri badilisha simu nikakauliza ninunue techno kinajichekesha tu
Umenena vema wamezingua sana Leo Hawa watu wa AirtelNauliza kwa kifupi tu, kuna tatizo gani leo, maana network inapatika kwa dakika chache tu kisa inakata masaa.., whats going on?!
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Mi simu yenyewe ya dhulma,nkajua tayari albadir
Nauliza kwa kifupi tu, kuna tatizo gani leo, maana network inapatika kwa dakika chache tu kisa inakata masaa.., whats going on?!
=========================
Update:
Tatizo linazidi kuwa kali zaidi, masaa mawili mfululizo ‘NO SERVICE’. Ndio network imerudi sasa hivi.
View attachment 2740240
Airtel ni toka Asubuhi no service, tangu nizaliwe sijawahi ona hali kama hiiMpaka tigo mkuu[emoji119]