Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Ulikuwa huna sababu ya kumjibu kama huna jibu. Kwani hajui kuna madaktari wa mifugo na hospitali za mifugo? ameamua kutumia njia hii ambayo kuna mtu labda ni daktari wa mifugo analifahamu tatizo hili na kumsaidia fasta, au akawepo mfugaji mwandamizi ambaye tatizohili hukabiliana nalo mara kwa mara kwa njia rahisi za kienyeji ama za kihospitali.Ushauri namba 1:
Ita daktari amshughulikie, usije ukampoteza.
Kutoka hapo ongea na daktari kiundani zaidi huku ukisubiri majibu yawafugaji wa jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo mbali sana na madaktari na ndio maana nimekuja hapa JF kupata msaada wa haraka kwa wazoef wa humu jukwaani.Philipo D. Ruzige said:Ita daktari amshughulikie
Asante kwa maoni ndugu, ntajaribu kufanya hvyo.Bambushka said:Mkuu watu husema ukimpa maji ukichanganya na magadi kama hakuna weka majivu kidogo hutoa gesi...
Sijui ukweli wake..
Tafuta namba za wataalamu humu kuna nyuzi nyingi.
Pole na kila la kheri.!
Chanzo ni nini mkuu au haufahamu chanzo ?Wanajamvi, Salaam!
Nina ng'ombe wangu amejaa sana gesi tumboni yaani tumbo limetuna vibaya mno leo ni siku ya nne.
Msaada wenu wataalamu na wazoefu wa mifugo. Shida hiyo husababishwa na nini? Ni ugonjwa au? Nini suluhisho la kutatua hilo?
Karibuni.
Sijui chanzo mkuu na kuhusu majani hakuna majani maalumu kwa kweli coz wanachungwa kw uchunguji wa kiasili (wa masafa marefu kidogo).PTER said:Chanzo ni nini mkuu? Au hufahamu chanzo? Wanachungia kwenye nyasi za aina gani?
Ukitaka kuondoa iyo gesi mtoboe kwa juu upande wa kushoto wa tumbo then iyo gesi ita be released japo inahitaji uzoefu kidogo au pia unaweza tumia stomach tube kuingiza mdomoni Hadi tumboni,ila kiufupi tafuta mtalamu wa mifugo ng'ombe atakwenda na maji huyo pia epuka kuchunga ovyo kwenye magugu kwani huleta bloating kwa mifugo pia angalia chakula unacholishaWanajamvi, Salaam!
Nina ng'ombe wangu amejaa sana gesi tumboni yaani tumbo limetuna vibaya mno leo ni siku ya nne.
Msaada wenu wataalamu na wazoefu wa mifugo. Shida hiyo husababishwa na nini? Ni ugonjwa au? Nini suluhisho la kutatua hilo?
Karibuni.
Ukupaswa kumchoma OTC,iyo Ni bloating unataka kutoa ushuzi kwa sindano hii akili ya wapi mfugaji wewe.TUMIA MADAKITARI WA MIFUGO WACHA UBISHI!!!Sijui chanzo mkuu na kuhusu majani hakuna majani maalumu kwa kweli coz wanachungwa kw uchunguji wa kiasili (wa masafa marefu kidogo).
Hii ni case ya pili kwa ng'ombe kupata tatizo kama hili. Miezi miwili iliyopita nilimpoteza ng'ombe wa mkubwa wa laki 5 kwa tatizo hili hili ambapo aliugua nikamchoma sindano za Oxytetracycline lakin hakupona, alikaa kam wiki 3 na ilikuwa anapata shda kutoa haja.. Baadae akaja kufa.
Hyperkid said:Ukitaka kuondoa hiyo gesi tumboni mtoboe kwa juu upande wa kushoto
Trocar and canula.ndio vifia vinavyotumikaAsante sana kwa ushauri mkuu ila nitatoboa kwa kutumia nini?
Vinapatikana wap mkuu?Hyperkid said:Trocar & canula ndio vifaa vinavyotumika
Kwenye maduka makubwa ya dawa na vifaa tiba kwa wanyama,nanikushauri hilo zoezi SI lakufanya wewe utaweza kumuuwa endapo utakosea,you have to know anatomy of ruminant animal ndipo utoboe kwani unaweza kukosea na usitoboe tumbo husika Kisha kutoboa other delicate organs na bada ya kutoboa puliza wound spry Kama alamycin or OTC kwenye kidondaVinapatikana wap mkuu?
Mkuu labda nizudi kukuliza maswali kidogo juu ya icho kinyesi je kilikua na uteute,na damu damu na je vip kuhusu upumuaji wake ukitizama mbavu anapumua kwa nguvu Hadi kuona kupanda na kushuka kwa mbavu? Apa nakuliza ili niweze kujua Ni gonjwa gani hasa linamesumbua ndipo nikwambie dawa gani ununueMkuu hyperkid asante sana kwa ufafanuzi..
Kinyesi chake kilikuwa uharo kiasi kwa siku za kwanza ila baadae alikoma kabisa kutoa na kinyesi kilikuwa na harufu tofauti.