Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Wanajamvi, Salaam!
Nina ng'ombe wangu amejaa sana gesi tumboni yaani tumbo limetuna vibaya mno leo ni siku ya nne.
Msaada wenu wataalamu na wazoefu wa mifugo. Shida hiyo husababishwa na nini? Ni ugonjwa au? Nini suluhisho la kutatua hilo?
Karibuni.
Nina ng'ombe wangu amejaa sana gesi tumboni yaani tumbo limetuna vibaya mno leo ni siku ya nne.
Msaada wenu wataalamu na wazoefu wa mifugo. Shida hiyo husababishwa na nini? Ni ugonjwa au? Nini suluhisho la kutatua hilo?
Karibuni.