Tatizo la Ng'ombe kujaa gesi tumboni

Tatizo la Ng'ombe kujaa gesi tumboni

Wakati nasoma Olevel ndipo kwa mara ywanza nilishuhudia mnyama anatundikiwa drip..

Ng'ombe wa mkuu wa shule alijaa gesi siku2 baada ya kutoka kuzaa basi alizidiwa mpaka hatua ya kushindwa kujigeuza akamlalia ndama wake mpaka akafa basi aliitwa dr wa mifugo maana alikuwa ni ng'ombe wa kisasa Fresian,alipofika akamtundikia drip kisha akamuingiza kifaa flani hv km bisibisi kisha akakifungua ule mshikio wake wa juu bomba likabaki tumboni basi ikaanza kutoka gesi yote kisha baada ya kumaliza akachomoa ule mrija wa kile kifaa akasema hapahitaji kushonwa panajiziba penyewe.Ng'ombe akapona

Sent using Jamii Forums mobile app
Icho kifaa Kama bisibisi ndio trocar and canula mkuu ,naiyo drip aliyofungwa bada ya kuzaa kupitia mshipa wa shingoni (jugular vein )ilikua na calcium ili kumsaidia ugonjwa wa (milking fever ) ambao huwakumba ng'ombe badaa ya kuzaa, Kama alikosa chakula chenye madini yakutosha Hali inayompelekea kukosa nguvu bada ya kuzaa na kushindwa kuamka.

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Ukupaswa kumchoma OTC,iyo Ni bloating unataka kutoa ushuzi kwa sindano hii akili ya wapi mfugaji wewe.TUMIA MADAKITARI WA MIFUGO WACHA UBISHI!!!

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA

NImeshanga apia.
huyo napiugwa sindano special tumboni, hewa yote inatoka.

sababu ni kula kula ovyo jalalani. itakuw amekula mifuko ya polastic au vyakula vinavyojaza hewa tumbo.
 
Hata angechkua epsom salt na kuichanganya na maji bloating inakwsha vizuri tu
Pia nikuombe Kama unaweza kupima joto nakunipa kwa kesho,apa unachukua clinical thermometer unainyiza kwenye kinyeo (rectum)nakusubiri kwa dakika2 Kisha kuchomoa nakusoma Apo Kama joto lake litakua 40C-41C ,na naweza sema ana SALMONELLOSIS dawa yake Ni sulfonamide au sulfadiazine pia sulfamethoxazole zinasaidia ayo Ni majina ya kitabibu majina ya trade Ni BAYTRIL

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sawa pia

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA

Upo sahihi..pia kitu cha muhimu kufaham ni aina gan ya bloat? Is it a gassy bloat or frothy bloat? Kwa ufup ni kwamba case nying ambazo nime attend kuhusu bloat huwa ni frothy bloat, hii huwasumbua sana ngo'mbe,mbuz hata kondoo. Hasa kipind cha majan mengi (wet grasses) ,
Gassy bloat hii hutokea mara chache hasa kwa case kama milk fever, cow down's syndrome au kukwama na vitu kama viaz..
So kabla hujaanza kutibu lazima ufaham ni aina gn ya bloat? Kama ni frothy bloat hapa itakupasa kutumia antifoaming agents kama epsom salts.,haina haja sana ya kutumia stomach tube au troca and canula
Ila kwa case ya gassy bloat hapa itakulazim utumie stomach tube au trocal and canula..hapa hushauriw kutumia antifoaming agents kama epsom salt..

MIFUGO NI MALI
 
Upo sahihi..pia kitu cha muhimu kufaham ni aina gan ya bloat? Is it a gassy bloat or frothy bloat? Kwa ufup ni kwamba case nying ambazo nime attend kuhusu bloat huwa ni frothy bloat, hii huwasumbua sana ngo'mbe,mbuz hata kondoo. Hasa kipind cha majan mengi (wet grasses) ,
Gassy bloat hii hutokea mara chache hasa kwa case kama milk fever, cow down's syndrome au kukwama na vitu kama viaz..
So kabla hujaanza kutibu lazima ufaham ni aina gn ya bloat? Kama ni frothy bloat hapa itakupasa kutumia antifoaming agents kama epsom salts.,haina haja sana ya kutumia stomach tube au troca and canula
Ila kwa case ya gassy bloat hapa itakulazim utumie stomach tube au trocal and canula..hapa hushauriw kutumia antifoaming agents kama epsom salt..

MIFUGO NI MALI
Kwel mkuu na bloat ambayo ni very common saana hua frothy bloat kuliko gas bloat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salmin siraj said:
Hata angechukua epsom salt angechanganya na maji bloating inakwisha kabisa
pamoja sana mkuu..

uchanganyaji unakuwaje? Haina madhara ikizidishwa?
 
Back
Top Bottom