Tatizo la ngozi mguuni

Tatizo la ngozi mguuni

At Calvary

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
4,533
Reaction score
3,595
Hi doctors!
for a while nimekuwa nikipatwa na hali ya ngozi kubanduka kama gamba.
Sijajua hi hali inasababishwa na nini.
pia hii imepelekea kutopenda kuvaa viatu. Maana nikivaa kwa muda miguu huuma.

Msaada please.

Wenu.

At Calvary



Mrejesho: Nilienda hospitali nliambiwa ni Fungus.
 
Naungana na wewe kusubiri majibu ya wataalamu
 
Nami imenitokea kwenye vidole gumba miguu yote na sielewi shida nn
 
Je umekua na tatizo Hilo kwa muda gani na je unapata maumivu ?
sijajua exactly. Ila ni kama haizidi 2 years. Nikiwa dar, ndio hali huwa hivyo. Ila nyumbani mkoani inapotea yenyewe.
Na huwa nikivaa viatu kwa muda hata kama ni saa 1. Miguu inauma ili nipate relief navua.
 
Habari doctor Nina tatizo hilo langozi nimenitokea nini siku ya tano japo kabla nilitokewa na vidonda mwilini nitatumia dawa vikakauka Ila baada ya hapo ndio nikatokewa na hii hali hapo panatowa USAA na maji maji pia panawasha sana na mkuu umevimba na sasa hivi naona dalili kwenye mkono

IMG-20210821-WA0018.jpg
 
Habari doctor Nina tatizo hilo langozi nimenitokea nini siku ya tano japo kabla nilitokewa na vidonda mwilini nitatumia dawa vikakauka Ila baada ya hapo ndio nikatokewa na hii hali hapo panatowa USAA na maji maji pia panawasha sana na mkuu umevimba na sasa hivi naona dalili kwenye mkono

View attachment 1901794
Pole mkuu
 
Hi doctors!
for a while nimekuwa nikipatwa na hali ya ngozi kubanduka kama gamba.
Sijajua hi hali inasababishwa na nini.
pia hii imepelekea kutopenda kuvaa viatu. Maana nikivaa kwa muda miguu huuma.

Msaada please.

Wenu.

At Calvary



Mrejesho: Nilienda hospitali nliambiwa ni Fungus.
Mrejesho: Nilienda hospitali nliambiwa ni Fungus.
 
Back
Top Bottom