peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Walitokea SUA Mkuu?Au wale mapropesa waliofanya utafiti mto mara waliosema mto wote umechafuliwa na mkojo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitokea SUA Mkuu?Au wale mapropesa waliofanya utafiti mto mara waliosema mto wote umechafuliwa na mkojo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Labda Kama haujawahi kufunga nguruwe mkuu,huyu mnyama hata akikuta mtoto mchanga nje usipokua makini anapita nae.Yeye anakula chochote kinachompitia mbele akiwa na njaa,ingawa si nguruwe wote hufanya hivi
Tulikuwa tunafunga nguruwe tunawapa pumba na vyakula vingine,siku tukichelewa kuwapa chakula wanakula tena zile pumba walizokunya
Kwan kuku Bali nyama?Basi kweli huyu mnyama ni haram.
Sijaonaga mnyama anayekula nyama analiwa na binadamu, sikuwa nalijuwa hili.
Sungura pia anakula watoto wakeBasi kweli huyu mnyama ni haram.
Sijaonaga mnyama anayekula nyama analiwa na binadamu, sikuwa nalijuwa hili.
Nimefuga na ninafuga nguruwe ndugu yangu, hao nguruwe wako kuna madini wanakosa ndugu yangu.Labda Kama haujawahi kufunga nguruwe mkuu,huyu mnyama hata akikuta mtoto mchanga nje usipokua makini anapita nae.Yeye anakula chochote kinachompitia mbele akiwa na njaa,ingawa si nguruwe wote hufanya hivi
Tulikuwa tunafunga nguruwe tunawapa pumba na vyakula vingine,siku tukichelewa kuwapa chakula wanakula tena zile pumba walizokunya
Ni mazoea tu hawana madhara ukila.Sikuwa nalijuwa hili, ninavyojuwa mimi wanyama wanaokula nyama binadamu huwa hatuwali.
Au akizaa vitoto halafu ana njaa mkichelewa kumpa msosi anavitafuna vizuri tu chap chap.Labda Kama haujawahi kufunga nguruwe mkuu,huyu mnyama hata akikuta mtoto mchanga nje usipokua makini anapita nae.Yeye anakula chochote kinachompitia mbele akiwa na njaa,ingawa si nguruwe wote hufanya hivi
Tulikuwa tunafunga nguruwe tunawapa pumba na vyakula vingine,siku tukichelewa kuwapa chakula wanakula tena zile pumba walizokunya
sio tu nyama, hata nyama yake mwenyewe anakula....ile mabaki na mifupa ya kitimoto anatafunaaNguruwe anakula nyama?
Ushauri wako ni mzuriWewe umesema kuku wanafuata mahindi, si uache kuweka mahindi huko kwa nguruwe? Pia, uimarisha mabanda ya mifugo yako ili kuku wasiweze kuingia huko kwa 'kitimoto'.
Kwa kifupi, tatizo hapa ni mfugaji kutokufuata ufugaji bora na wala sio kitimoto!
😂😂😂😂😂😂😂Ngoja nikapige kwanza kilo moja rost na ndizi mbili nishushie na K-veve ili niweze kulitafakari jambo hili.
Mate yanakutoka, njoo Serengeti hapa banana tule mdudu, halafu tumwagilie moyo.😀😀😂😂😂😂😂😂😂
Ni mazoea tu hawana madhara ukila.
Labda ili nieleweke, hata binadamu asipokula nyama kabisa, hawezi kuwa na roho mbaya.Kuku, bata nk wote wanakula nyama. Jaribu kukatakata nyama au uwatupie nyama ngumu iliyokushinda kutafuna. Utaona jinsi watakavyonyanganyana na kuimaliza. Hao wote ni haramu ukiongezea na samaki kwa kigezo chako. USILE.
Kwakweli nasalivate....huyu mnyama amebarikiwa sanaMate yanakutoka, njoo Serengeti hapa banana tule mdudu, halafu tumwagilie moyo.😀😀
Basi kweli huyu mnyama ni haram.
Sijaonaga mnyama anayekula nyama analiwa na binadamu, sikuwa nalijuwa hili.
Hili ni tangazo anyway nguruwe sh ngap em picha zaoHabari ya leo
Nina mradi wa ufugaji nguruwe mix kuku wa kienyeji Kijijini kwetu Songea. Tatizo lililopo ni Nguruwe kukamata na kula kuku wanaoingia bandani kuokota punje za mahindi. Sio chini ya kuku 10 wamefanywa kitoweo
Naomba msaada changamoto hii wafugaji mnatatuaje?
Nguruwe ni mnyama anaekula takribani kila chakula kilicho mbele yake iwe kibichi au kilichopikwa. Japo si nguruwe wote wanaoweza kula kuku alie hai.Tatizo la Nguruwe kula kuku, ni tatizo linalotakiwa kujibiwa na wasomi wa SUA, wapo huku Jf ila majibu hawana wanasaka ajira ambazo ni ngumu kuzipata.
Kuku na Bata tangu lini wamekuwa WANYAMA????Kuku, bata nk wote wanakula nyama. Jaribu kukatakata nyama au uwatupie nyama ngumu iliyokushinda kutafuna. Utaona jinsi watakavyonyanganyana na kuimaliza. Hao wote ni haramu ukiongezea na samaki kwa kigezo chako. USILE.
Hio paragraph ya mwisho unamaanisha kwamba kufuga nguruwe kunahitaji mtaji mkubwa au unamaanisha wanalipa mkuu?Nguruwe wanakula chochote kilichopo mbele yao, hasa wakiwa na njaa, tena mwingne akiwa mkali usimsogelee ni hataree. Kaka angu aliwahi jeruhiwa na nguruwe wetu wakati yupo ndani ya zizi anasafisha
Nguruwe kula kuku hasa pale na wao wanapodowea pumba zao, au laah mfugaji kumzoesha nguruwe kula kuku.
All in all Ufugaji wa Nguruwe ni mtaji mkubwaa, Songea home kwetu kumenogaaaa!