Tatizo la Nguruwe kula kuku

Tatizo la Nguruwe kula kuku

Labda Kama haujawahi kufunga nguruwe mkuu,huyu mnyama hata akikuta mtoto mchanga nje usipokua makini anapita nae.Yeye anakula chochote kinachompitia mbele akiwa na njaa,ingawa si nguruwe wote hufanya hivi

Tulikuwa tunafunga nguruwe tunawapa pumba na vyakula vingine,siku tukichelewa kuwapa chakula wanakula tena zile pumba walizokunya
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Labda Kama haujawahi kufunga nguruwe mkuu,huyu mnyama hata akikuta mtoto mchanga nje usipokua makini anapita nae.Yeye anakula chochote kinachompitia mbele akiwa na njaa,ingawa si nguruwe wote hufanya hivi

Tulikuwa tunafunga nguruwe tunawapa pumba na vyakula vingine,siku tukichelewa kuwapa chakula wanakula tena zile pumba walizokunya
Nimefuga na ninafuga nguruwe ndugu yangu, hao nguruwe wako kuna madini wanakosa ndugu yangu.

Nguruwe hali chakula alichokanyagakanyaga au alichokinyea, sasa kama wako anakula hadi kinyesi chake mcheki daktari wa mifugo utawaua kwa minyoo.
 
Labda Kama haujawahi kufunga nguruwe mkuu,huyu mnyama hata akikuta mtoto mchanga nje usipokua makini anapita nae.Yeye anakula chochote kinachompitia mbele akiwa na njaa,ingawa si nguruwe wote hufanya hivi

Tulikuwa tunafunga nguruwe tunawapa pumba na vyakula vingine,siku tukichelewa kuwapa chakula wanakula tena zile pumba walizokunya
Au akizaa vitoto halafu ana njaa mkichelewa kumpa msosi anavitafuna vizuri tu chap chap.
 
Wewe umesema kuku wanafuata mahindi, si uache kuweka mahindi huko kwa nguruwe? Pia, uimarisha mabanda ya mifugo yako ili kuku wasiweze kuingia huko kwa 'kitimoto'.

Kwa kifupi, tatizo hapa ni mfugaji kutokufuata ufugaji bora na wala sio kitimoto!
Ushauri wako ni mzuri
 
Ni mazoea tu hawana madhara ukila.

Kuku, bata nk wote wanakula nyama. Jaribu kukatakata nyama au uwatupie nyama ngumu iliyokushinda kutafuna. Utaona jinsi watakavyonyanganyana na kuimaliza. Hao wote ni haramu ukiongezea na samaki kwa kigezo chako. USILE.
Labda ili nieleweke, hata binadamu asipokula nyama kabisa, hawezi kuwa na roho mbaya.

Binadamu ni mnyama pia, fuatilia wanyama wanaokula nyama na wanaokula majani utagunduwa siri ya uumbaji.

Waangalie binadamu wanaojiita vegetarian au Rastafarian wachungize mioyo yao ni watu peace na wenye upendo.

Chunguza makabila ambayo wanakula sana nyama na makabila ambayo kwao nyama ni anasa yani inapatikana kwa nadra utagunduwa tofauti kubwa ya Harmony.

My point nyama ni tatizo kwa binadamu.
 
Yesu mwenyewe alimtoa mtu mapepo akawatupia nguruwe hao wadudu ni wa hovyo sana
 
Habari ya leo

Nina mradi wa ufugaji nguruwe mix kuku wa kienyeji Kijijini kwetu Songea. Tatizo lililopo ni Nguruwe kukamata na kula kuku wanaoingia bandani kuokota punje za mahindi. Sio chini ya kuku 10 wamefanywa kitoweo

Naomba msaada changamoto hii wafugaji mnatatuaje?
Hili ni tangazo anyway nguruwe sh ngap em picha zao
 

Tatizo la Nguruwe kula kuku, ni tatizo linalotakiwa kujibiwa na wasomi wa SUA, wapo huku Jf ila majibu hawana wanasaka ajira ambazo ni ngumu kuzipata.​

Nguruwe ni mnyama anaekula takribani kila chakula kilicho mbele yake iwe kibichi au kilichopikwa. Japo si nguruwe wote wanaoweza kula kuku alie hai.

Nguruwe wakali kupita kiasi ndio hasa unaweza kuwakuta wakiwa na hiyo tabia. Pia upungufu wa protin mwilini unaweza kupelekea nguruwe kula kuku n.k
 
Kuku, bata nk wote wanakula nyama. Jaribu kukatakata nyama au uwatupie nyama ngumu iliyokushinda kutafuna. Utaona jinsi watakavyonyanganyana na kuimaliza. Hao wote ni haramu ukiongezea na samaki kwa kigezo chako. USILE.
Kuku na Bata tangu lini wamekuwa WANYAMA????
 
Nguruwe wanakula chochote kilichopo mbele yao, hasa wakiwa na njaa, tena mwingne akiwa mkali usimsogelee ni hataree. Kaka angu aliwahi jeruhiwa na nguruwe wetu wakati yupo ndani ya zizi anasafisha

Nguruwe kula kuku hasa pale na wao wanapodowea pumba zao, au laah mfugaji kumzoesha nguruwe kula kuku.

All in all Ufugaji wa Nguruwe ni mtaji mkubwaa, Songea home kwetu kumenogaaaa!
Hio paragraph ya mwisho unamaanisha kwamba kufuga nguruwe kunahitaji mtaji mkubwa au unamaanisha wanalipa mkuu?
 
Back
Top Bottom