Tatizo la Nguruwe kula kuku

Tatizo la Nguruwe kula kuku

Labda ili nieleweke, hata binadamu asipokula nyama kabisa, hawezi kuwa na roho mbaya.

Binadamu ni mnyama pia, fuatilia wanyama wanaokula nyama na wanaokula majani utagunduwa siri ya uumbaji.

Waangalie binadamu wanaojiita vegetarian au Rastafarian wachungize mioyo yao ni watu peace na wenye upendo.

Chunguza makabila ambayo wanakula sana nyama na makabila ambayo kwao nyama ni anasa yani inapatikana kwa nadra utagunduwa tofauti kubwa ya Harmony.

My point nyama ni tatizo kwa binadamu.
Kiboko anakula majani tu lkn ndio anaongoza kwa kuua binadamu kuliko hata Simba.
 

Tatizo la Nguruwe kula kuku, ni tatizo linalotakiwa kujibiwa na wasomi wa SUA, wapo huku Jf ila majibu hawana wanasaka ajira ambazo ni ngumu kuzipata.​

Wanafanya utafiti wa panya kulipua mabomu wakati Tanzania hakuna vita badala ya kufanya utafiti kwa nini nguruwe nakakula kuku.
 
Unamaanisha kuku ni mdudu au
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jamaa amekazana kweli na hiyo statement yake tangu kule juu

Sijui yeye akiskia mnyama anapata picha gani kichwani kwake au neno mnyama yeye analielewaje

Na hapo somo la Biology ni somo la ulazima kuanzia chekechea mpaka O-level

ushauri wangu tu Kwa jamaa akae mbali sana pindi watoto wake au wa majirani wanapofanya Homework
 
Labda ili nieleweke, hata binadamu asipokula nyama kabisa, hawezi kuwa na roho mbaya.

Binadamu ni mnyama pia, fuatilia wanyama wanaokula nyama na wanaokula majani utagunduwa siri ya uumbaji.

Waangalie binadamu wanaojiita vegetarian au Rastafarian wachungize mioyo yao ni watu peace na wenye upendo.

Chunguza makabila ambayo wanakula sana nyama na makabila ambayo kwao nyama ni anasa yani inapatikana kwa nadra utagunduwa tofauti kubwa ya Harmony.

My point nyama ni tatizo kwa binadamu.
Kula nyama kunachangia kua na roho mbaya?
Fafanu mkuu.
 
Labda ili nieleweke, hata binadamu asipokula nyama kabisa, hawezi kuwa na roho mbaya.

Binadamu ni mnyama pia, fuatilia wanyama wanaokula nyama na wanaokula majani utagunduwa siri ya uumbaji.

Waangalie binadamu wanaojiita vegetarian au Rastafarian wachungize mioyo yao ni watu peace na wenye upendo.

Chunguza makabila ambayo wanakula sana nyama na makabila ambayo kwao nyama ni anasa yani inapatikana kwa nadra utagunduwa tofauti kubwa ya Harmony.

My point nyama ni tatizo kwa binadamu.
Kutana na nyati hapo mbugani bora simba
 
Back
Top Bottom