Tatizo la Nguruwe kula kuku

Kiboko anakula majani tu lkn ndio anaongoza kwa kuua binadamu kuliko hata Simba.
 
Ngoja nikapige kwanza kilo moja rost na ndizi mbili nishushie na K-veve ili niweze kulitafakari jambo hili.
pili pili umrsahau wapi wewe!!!!mbona unaharibu resipi?nakuonya usirudie tena hili kosa
 

Tatizo la Nguruwe kula kuku, ni tatizo linalotakiwa kujibiwa na wasomi wa SUA, wapo huku Jf ila majibu hawana wanasaka ajira ambazo ni ngumu kuzipata.​

Wanafanya utafiti wa panya kulipua mabomu wakati Tanzania hakuna vita badala ya kufanya utafiti kwa nini nguruwe nakakula kuku.
 
Unamaanisha kuku ni mdudu au
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jamaa amekazana kweli na hiyo statement yake tangu kule juu

Sijui yeye akiskia mnyama anapata picha gani kichwani kwake au neno mnyama yeye analielewaje

Na hapo somo la Biology ni somo la ulazima kuanzia chekechea mpaka O-level

ushauri wangu tu Kwa jamaa akae mbali sana pindi watoto wake au wa majirani wanapofanya Homework
 
Kula nyama kunachangia kua na roho mbaya?
Fafanu mkuu.
 
Kutana na nyati hapo mbugani bora simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…