dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
may google be your friendHaina mahusiano na pale kati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
may google be your friendHaina mahusiano na pale kati
Hii kitu "STD's" haizungumziwi, lakini inakuja kwa kasi kubwa sana ya kuenea kwenye jamiidah, pale kati patam shida ni hizi STDs
noma sana, unakwepa Ngoma, unakumbana na Ini mzee,Hii kitu "STD's" haizungumziwi, lakini inakuja kwa kasi kubwa sana ya kuenea kwenye jamii
Poleni sana.Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo ili jamaa yangu aende
Homa ya ini ni kisababishi kikubwa sana cha saratani ya ini. Unaweza kupata chanjo ya Hepatitis B na bado ukapata saratani ya ini, Hepatitis C ikiwa sababu mojawapo.Hepatitis B(Homa ya Ini) ni Ugonjwa wa ngono inatakiwa mtu upate chanjo mara mbili kabla ya kuupata ndo hautaupata Teena.... Chanjo yake niliambiwa ni 30k Moja ya hospital za hapa mjin dar
Chanzo kikubwa ni pombe kali, bila kula; nilimpoteza mdogo wangu kwa hilo tatizo.Homa ya ini ni kisababishi kikubwa sana cha saratani ya ini. Unaweza kupata chanjo ya Hepatitis B na bado ukapata saratani ya ini, Hepatitis C ikiwa sababu mojawapo.
Ijapokuwa, ukipata chanjo ya Hepatitis B inapunguza chances za kupata saratani ya ini.
Mkuu kuhusu tiba ya Chemotherapy sio nzuri na haiponyeshi kabisa hiyo Chemotherapy. kuna dawa za asili zinazoweza kutibu Saratani ya ini na akapona kabisa anitafute mimi kwa wakati wake ili nipate kumtibia amradhi yake apate kupona.Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo ili jamaa yangu aende.
Mkuu kuhusu tiba ya Chemotherapy sio nzuri na haiponyeshi kabisa hiyo Chemotherapy. kuna dawa za asili zinazoweza kutibu Saratani ya ini na akapona kabisa anitafute mimi kwa wakati wake ili nipate kumtibia amradhi yake apate kupona.
una kichaa STDS inatoka wapidah, pale kati patam shida ni hizi STDs
hnywi ni mwisilamu safiMkuu sorry sana mimi ndugu yangu imanuel alifarik kwa hepatitis alichelewa ika develope cancer.hakuwa anakunywa pombe kama mimi..swali ni je hiyo jamaa wako anakunywa?
Sasa kazi imeanza wazee wa fursa wameanza mgonjwa kaa chonjo madaktari wameanza kujtokeza .Mkuu kuhusu tiba ya Chemotherapy sio nzuri na haiponyeshi kabisa hiyo Chemotherapy. kuna dawa za asili zinazoweza kutibu Saratani ya ini na akapona kabisa anitafute mimi kwa wakati wake ili nipate kumtibia amradhi yake apate kupona.